• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Madiwani sikilizeni wananchi: DC Mlawa

Posted on: December 19th, 2020

Pichani juu:Mkuu wa wilaya ya Kilombero Ndg Ismail Mlawa (aliyesimama) akizungumza jambo kwenye kikao cha kwanza cha baraza la madiwani.

MADIWANI katika halmashuri ya wilaya ya Mlimba mkoani Morogoro wametakiwa kuchukua mawazo ya wananchi wanaowaongoza na kuyaleta katika vikao vya madiwani na sio kuleta mawazo yao binafsi.

Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita na mkuu wa mkoa wa Morogoro Olata Ole Sanare wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kilichofanyika katika tarafa ya Mngeta wilayani hapa.

Akimwakilisha mkuu huyo wa mkoa,Mkuu wa wilaya ya Kilombero Ismail Mlawa alisema kama madiwani hao wapya wakichukua mawazo yao binafsi na kuleta katika mabaraza watakuwa hawawatendei haki wananchi wanaowaongoza kwani mawazo ama changamoto za wananchi zinaanzia katika vikao vya chini kasha kuletwa katika baraza la madiwani.

Mkuu huyo wa mkoa amesema kama diwani atakuwa analeta mawazo yake yeye katika baraza basi diwani huyo atakuwa hafanyi mikutano katika kata yake ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na hivyo atakuwa anavunja miiko ya Chama chake kilichomuweka madarakani.

Aidha mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa serikali haitarajii kuona kunakuwepo mivutano baina ya madiwani na watendaji ukizingatia kuwa madiwani wote katika halmashauri hiyo ni wa kutoka Chama cha Mapinduzi(Ccm) hivyo kutegemea uwepo ushirikiano utakosaidia kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Sanare amewataka madiwani hao wasimamie ukusanyaji wa mapato kwa kufuata sheria  na waweke ubunifu katika kuanzisha vyanzo vipya vya mapato huku pia akiwakumbusha kuwa ni wajibu kutenga asilimia 10 kwa ajili ya mikopo kwa vijana,wanawake na makundi maalum.

Kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri hiyo Innocent Mwangasa aliwashukuru madiwani wenzie kwa kumpatia yeye na makamu wake ushindi wa asilimia 100 na kudai kuwa ana deni kubwa la kuwaletea maendeleo wananchi wa halmashauri ya wilaya ya Mlimba na kusema kuwa shauku yake ni kuona Mlimba inapiga hatua katika maendeleo.

Mwangasa alisema licha ya kujiwekea mipango mingi mmojawapo ni kushirikiana na mkurugenzi mtendaji,mbunge na watendaji wengine na pia akihakikisha kila diwani katika kata yake anatimiza wajibu wake katika kusimamia kata na kutatua kero za wananchi.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2019 HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO December 09, 2019
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO March 27, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya wilaya ya Mlimba yakadiria bajeti yake

    January 25, 2021
  • Madiwani sikilizeni wananchi: DC Mlawa

    December 19, 2020
  • maafisa kilimo wekeni malengo

    November 27, 2020
  • Mhandisi Kalobelo azindua msimu mpya wa kilimo 2020/2021 Wilayani Mlimba ,azitaka Halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika.

    November 27, 2020
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa