• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mchuuzi wa samaki apigwa faini kwa kufanya biashara bila leseni.

Posted on: July 11th, 2018

Pichani juu: Mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi akionyesha samaki ambao hawakustahili kuvuliwa kwa afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya kilombero.

katika hali isiyokuwa ya kawaida mchuuzi wa samaki bwana Denis ferdinand amekamatwa akiwa na samaki wadogo huku akiwa hana leseni katika eneo la Namwawala tayari kwa kuwasafirisha kwenda kuwauza mapema jana.

akizungumzia sakata hilo, mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi bi Annete Kitambi alisema kuwa mchuuzi na mvuvi huyo alikamatwa akiwa katika harakati za kuwavusha samaki hao kimagendo, huku akijua wazi kuwa kufanya hivyo ni kunyume na utaratibu unavyotakiwa kuwa.

akijibu tuhuma hizo ndg Ferdinand alisema kuwa ni kweli kuwa anakiri kosa na yupo tayari kulipa faini ingawa alisema kuwa huwa anatumia leseni yake aliyokutwa nayo ambayo siyo kwaajili ya Halmashauri ya wilaya ya kilombero bali aliikatia kwenye mamlaka ya Ifakara mji. na kuhusu suala la kuwa na samaki wadogo sana ambao kwa mujibu wa sheria na wanavyotakiwa kuwa haikutakiwa kabisa kuvuliwa, alisema kuwa hakujua kuwa hilo ni kosa hivyo aliomba msamaha kwa kosa hilo.

Akijibu swali la kuwa samaki hao wanatakiwa kuwa na ukubwa gani ndipo wavuliwe, Bi Kitambi alisema kuwa samaki hao kwa kawaida huwa na kilo kuanzia ishirini mpaka thelathini hivyo kuwahi kuwavua wakiwa wadogo kiasi hicho ni kupoteza mali asili yetu na fahari yetu kwani watakapovuliwa wadogo kiasi hicho itachangia kwa kiasi kikubwa kumaliza kizazi hicho na hivyo kuangamiza zalio (species) hilo.

Aidha Bi kitambi alimuamuru kulipa faini ambayo ni kiasi cha shilingi laki moja na kuamuriwa samaki hao kupigwa tena mnada ambapo pia aliamua kuwanunua yeye mwenyewe ili kuepusha hasara kubwa ambayo angeweza kuipata.

''kwa mujibu wa sheria ni kosa kubwa sana kufanya biashara ya kuvua ama kuchuuza samaki bila ya kuwa na leseni ya kufanya hivyo kutoka kwa halmashauri ya kilombero ikiwa tu biashara hiyo utaifanya kwenye mamlaka ya kilombero, hivyo pamoja na yote hayo unatakiwa pia kukata leseni mara moja ili uweze kufanya kazi yako kihalali''. Alimaliza bi Kitambi.

Matangazo

  • TAHADHARI NA UTAPELI September 21, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI November 07, 2018
  • Mkutano wa wananchi September 07, 2018
  • Huduma ya upimaji wa Afya September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Miradi ya maji Kilombero yapamba moto, mwaya, mgudeni na kiswanya wanufaika

    February 11, 2019
  • Haya hapa magazeti ya leo tarehe 7/2/2019

    February 07, 2019
  • Makusanyo ya Bilioni 1.66 kuvuka makadirio kwa mwaka wa fedha 2018/2019

    January 31, 2019
  • Ligazio:Tutafanya utaratibu nao wapate elimu

    January 30, 2019
  • Angalia zote

Video

Mei mosi
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Kibaoni Ifakara Morogoro

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa