Kitengo cha Nyuki kimeundwa na sehemu 2 ambazo ni:
Nyuki na Misitu
Nyuki ina majukumu yafuatayo:
1. Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki
2. Kutangaza sera na sheria za ufugaji nyuki
3. Kukusanya takwimu za rasiliali na ufugaji nyuki
4. Kupanga na Kupima ubora wa mazao ya nyuki
5. Kutoa elimu juu ya mbinu bora za ufugaji nyuki na uhifadhi wa bioanuai
Misitu ina majukumu yafuatayo
1. Kusimamia upandaaji na uhudumiaji wa miti na misitu
2. Kusimamia uendelezaji wa misitu ya kupandwa na ya asili
3. Kufanya utafiti wa misitu
4. Kutekeleza sera na sheria za misitu
5. Kukusanya Takwiu za Misitu
6. Kupanga na kupima madaraja ya mbao
7. Kudhibiti leseni na uvunaji wa miti
8. Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ya uendeleaji na matumizi endelevu ya miti kwa wananchi
9. Kufanya ukadiriaji wa rasilimali za misitu
10. Kupima maeneo na kuchora ramani za misitu
Mngeta Kijiji cha Itongoa
Anuani: P.O.BOX 263
Simu: 023 293 1523
Mobile: 0232931523
Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz
Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa