• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
KILOMBERO DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Maendeleo ya Jamii

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NA VIJANA


 Kitengo cha Maendeleo ya Jamii

  • Lengo kuu la Kitengo;
  • Kusaidia jamii kutafsiri fursa na vikwazo vilivyopo katika mazingira yao na kutumia rasilimali zilizopo kujiletea maendeleo.
  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya.
  • Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera za  Maendeleo ya Jamii katika ngazi za vijiji na kata.
  •  
  • Kuratibu na kusimamia asasi za kiraia zinazotekeleza shughuli za Maendeleo katika Wilaya.
  • Kuratibu na kusimamia Asasi za kiraia katika wilaya ( NGOs, CBOs na vikundi vya kiuchumi)
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa Wanawake (WDF) katika ngazi ya Wilaya
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa  Vijana (YDF) katika ngazi ya Wilaya
  • Kusimamia na kuratibu miradi/mipango iliyoko chini ya Idara ya Maendeleo ya Jamii (TASAF, CHF, KUDHIBITI UKIMWI, MKURABITA,n.k )
  • Kutoa mapendekeo ya kukabiliana na vikwazo vya maendeleo ya makundi maalum wakiwemo wanawake, watoto, wazee na walemavu.
  • Kuandikisha na kutunza rejista za vikundi vya maendeleo ya makundi maalumu wakiwemo vijana, wanawake na walemavu.
  • Kuhamasisha na kutoa Mapendekezo juu ya ushirikishaji jamii katika kubuni na kupanga miradi ya maendeleo  kwa kutumia teknolojia rahisi na sahihi.
  • Kufuatilia na kuuhisha rejista za wakazi katika ngazi za vijiji na vitongoji.
  • Kusimamia na kutafsiri sheria za Ustawi wa Jamii (Mtoto,Wazee, Ndoa)  katika ngazi ya Wilaya.

 Kitengo cha Ustawi wa Jamii

  • Lengo kuu la Kitengo;
  • Kusaidia watu kutambua haki na wajibu wao katika kutoa huduma za kijamii na hasa makundi maalumu wakiwemno watoto, wazee na walemavu.
  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya.
  1. Kufuatilia na Kusimamia upatikanaji wa haki za  wazee wenye mahitaji maalumu
  2. Kutetea haki za watoto na wanafamilia wanaoonewa katika ngazi ya kaya na vyombo vya sheria.
  3. Kuwezesha na kusimamia vituo vya kulelea watoto yatima
  4. Kutekeleza mipango kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi
  5. Kusimamia na kutafsiri sheria ya mtoto katika ngazi ya Wilaya na vijiji
  6. Kusimamia na kutafsiri sheria ya mtoto katika ngazi ya Wilaya, kata na vijiji

 Kitengo cha Vijana

  • Lengo kuu la Kitengo;

Kusaidia vijana kupata mbinu za kujiinua kiuchumi na kutambua fursa na vikwazo  vilivyo katika mazingira yao na kujiletea maendeleo. 

  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya.
  • Kuhimiza maendeleo ya Elimu na Ujuzi kwa Vijana
  • Kutokomezaji wa umaskini na mfungamano wa vijana kiuchumi na kijamii
  • Kuwezesha maisha endelevu na ajira kwa vijana
  • Kuwezesha maendeleo endelevu na hifadhi ya mazingira
  • Kuhamasishaji wa maadili na desturi njema za kiafrika kwa vijana
  • Kuratibu mabaraza ya vijana katika ngazi ya kata na wilaya

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2019 HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO December 09, 2019
  • TAHADHARI NA UTAPELI September 21, 2018
  • FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO March 27, 2017
  • MAENEO YA UWEKEZAJI KWA KILIMO CHA UMWAGILIAJI March 26, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Katibu wa CCM asisitiza kutumia majina ya waasisi kwenye mashindano Kilombero

    November 09, 2019
  • Kilombero yafanikiwa kwenye chanjo

    October 25, 2019
  • Mkuu wa wilaya ya Kilombero azindua chanjo ya Surua Lubera

    October 17, 2019
  • Halmashauri ya wilaya ya Kilombero kuhamia Mngeta

    October 16, 2019
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Kibaoni Ifakara Morogoro

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa