• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Rasilimaliwatu na Utawala

DIVISHENI YA RASILIMALI WATU NA UTAWALA

Lengo

Kutoa utaalamu na huduma kuhusu usimamizi wa rasilimali watu na masuala ya kiutawala kwa Halmashauri na kuratibu masuala yote yanayo husu chaguzi kuu na za Serikali za Mitaa ndani ya Manispaa.

Majukumu

Divisheni hii inatekeleza majukumu yafuatayo:-

Kufafanua kanuni za huduma ya umma; kanuni za kudumu na sheria zingine za kazi;

Kusimamia utekelezaji wa shughuli za uhamasishaji wa maadili ikiwa ni pamoja na elimu ya kuzuia rushwa;

Kutoa na kusimamia utekelezaji wa shughuli kama vile kuajiri, kuchagua, kutoa mwelekeo, mafunzo na maendeleo ya mwajiriwa, kupandishwa vyeo, nidhamu, hamasa, uhifadhi, usimamizi wa utendaji na ustawi wa jumla wa wafanyakazi;

Kuhakikisha usimamizi bora na wa ufanisi na matumizi ya rasilimali watu;

Kuratibu Baraza la Wafanyakazi na masuala ya vyama vya wafanyakazi;

Kusimamia maendeleo na utekelezaji wa sera bora, taratibu na miongozo ya kuajiri, mafunzo na maendeleo, usambazaji na uhifadhi wa wafanyakazi, kupanda vyeo na usimamizi wa utendaji;

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa rasilimali watu na orodha ya ujuzi wa sasa na unao hitajika;

Kutoa huduma za kumbukumbu, umesenja na uwakala; na kusimamia kumbukumbu za Ofisi;

Kusimamia masuala ya itifaki;

Kuwezesha utoaji wa huduma za usalama, usafiri na mahitaji ya jumla;

Kuwezesha ukarabati wa vifaa vya Ofisi, majengo na viwanja;

Kuratibu utekelezaji wa masuala mbalimbali;

Kuratibu utekelezaji wa Ushiriki wa Sekta Binafsi, uboreshaji wa Mchakato wa Biashara na Mkataba wa Huduma kwa Wateja;

Kutoa ushauri kuhusu ufanisi wa Taasisi ya Ofisi;

Kuratibu shughuli za uchaguzi kwenye Halmashauri; na

Kusimama chaguzi kuu na za Serikali za Mitaa.

Sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Watu

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo:-

Kutafsiri na kuhakikisha kanuni za huduma ya umma, kanuni za kudumu na sheria zingine za kazi zinafuatwa;

Kutekeleza mpango na maendeleo ya rasilimali watu;

Kuratibu ajira za wafanyakazi, uchaguzi, mafunzo ya mwelekeo, uwekwaji, kuthibitishwa, mafunzo na maendeleo ya waajiriwa, kupandishwa vyeo na uhamisho;

Kuandaa makadirio ya malipo ya mwaka ya mfanyakazi na kushughulikia na kuandaa mishahara;

Kuratibu utekelezaji wa mfumo wa PEPMIS

Kusimamia mafao ya mwajiriwa (pensheni, posho, kustaafu, kujiuzulu, kifo n.k) na stahili nyinginezo; kusimamia huduma zinazo husiana na  huduma ya fomu ya kujitenga (kustaafu, kujiuzulu n.k);

Kuwezesha uhusiano wa mwajiriwa na ustawi ikiwa ni pamoja na afya ya mwajiriwa na usalama, michezo na utamaduni;

Kuchakata na kusasisha rekodi za likizo kama vile mapumziko, ugonjwa uzazi, masomo na mwisho;

Kuratibu madai na kushughulikia malalamiko;

Kuhudumu kama Sekretarieti kwa Kamati ya Uteuzi; na

Kuratibu Baraza la Wafanyakazi na masuala ya vyama vya wafanyakazi; na

Sehemu hii inaongozwa na Afisa anaye husika.

Sehemu ya Utawala 

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo:-

Kuwezesha ukarabati wa vifaa vya Ofisi, majengo na viwanja;

Kuratibu utekelezaji wa shughuli za kukuza maadiali, ambazo ni pamoja na kuzuia vitendo vya rushwa;

Kuratibu utekelezaji wa masuala mbalimbali;

Kutoa huduma za usajili, umesenja na utumaji na kusimamia kumbukumbu za Ofisi;

Kushughulikia masuala ya Itifaki;

Kuwezesha utoaji wa huduma za usalama, usafiri na huduma za jumla;

Kuratibu utekelezaji wa ushiriki wa Sekta Binafsi, uboreshaji wa mchakato wa biashara na Hati ya Huduma kwa Mteja katika Ofisi;

Kushauri kuhusu ufanisi wa Taasisi yo Ofisi;

Kuratibu shughuli za uchaguzi kwenye Halmashauri;

Kuratibu chaguzi kuu na chaguzi za Serikali za Mitaa; na

Kufuatilia utekelezaji wa kanuni za utawala bora.

Sehemu hii inaongozwa na Afisa anaye husika.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa