• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

MOROPEO waipongeza serikali,Mkuu wa wilaya Kilombero atoa tamko

Posted on: June 24th, 2019

Pichani juu: Mkuu wa wilaya ya Kilombero Ndg James Ihunyo (mwenye suruali nyeusi na shati nyeupe waliokaa) akiwa na baadhi ya viongozi wa MOROPEO na washiriki wengine mara baada ya kikao hicho.

SHIRIKA la wazee Morogoro(MOROPEO)  limeipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk John Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo  Sera ya Taifa ya wazee kwani ilisahaulika licha ya kutolewa mwaka 2003.

Akizungumza katika uundwaji na uzinduzi Wa baraza la wazee ngazi ya halmashauri ya Wilaya ya Kilombero,Mkurugenzi Wa Moropeo Samson Msemembo alisema licha ya kuchukua miaka 16 tangu Sera ya Taifa ya wazee ilipotolewa na serikali mashirika ya wazee na wazee wenyewe kote nchini wameendelea kusukuma,kudai na kusubiri bila kukata tamaa kuundiwa mabaraza hayo.

Msemembo amesema hatimaye serikali sikivu ya awamu ya tano imepania kutekeleza na kuunda mabaraza katika ngazi zote na mfano ni halmashauri ya Wilaya ya Kilombero na kudai kuwa hatua iliyofikia inatia moyo.

Alisema licha ya kuchelewa wanaendelea kupiga hatua kukamilisha uundwaji huo Wa mabaraza katika halmashauri zote na baadae kuuwezesha mkoa nao kuwa na baraza la wazee Mkoa na matumaini yao kukamilisha zoezi hilo hadi ngazi ya taifa kwa mwaka huu 2019.

Mkurugenzi huyo alisema pamoja na majukumu mengine baraza hilo la halmashauri litazungumzia na kutafuta ufumbuzi Wa kutatua kero na changamoto za wazee zilizo ndani ya uwezo Wa baraza hilo na kufikisha ngazi ya juu kwa ufumbuzi ulio juu ya uwezo wake.

Ametaja changamoto zinazogusa wazee ni pamoja na huduma za natibabu,pensheni na namna nyingine ya kipato,unyanyasaji Wa kikatili,huduma za usafiri,miundombinu,misamaha ya kodi na ushiriki na ushirikishwaji katika vyombo vya maamuzi.

Kwa upande wake Mkuu Wa Wilaya ya Kilombero James Ihunyo ambaye alikuwa mgeni rasmi alisema wazee ndio vyanzo vya busara katika maeneo mengi hasa kutokana na Vijana wengi kuwa na mihemko katika mambo yao.

Ihunyo amewataka wazee wilayani humo kutumia ujuzi Wa taaluma walizosomea katika kushauri mambo mbalimbali na serikali ya Wilaya itahakikisha wanaendelea kuishi kwa Amani na kutumiwa kwa ushauri pale watakapohitajika.

Ameziagiza ngazi zote kuhakikisha wazee hawasumbuliwi wanapofika kutoa malalamiko yao na pia kuandaliwa vitambulisho vya matibabu na kuahidi kuwa ofisi yake itaendelea kupokea ushauri Wa wazee wote bila kuwabagua.

Katika uchaguzi huo ulioshirikisha wajumbe 52 kutoka katika Kata zote 26 katika halmashauri hiyo Veronika Wapalila alichaguliwa  kuwa Mwenyekiti na Adam Komba makamu Mwenyekiti huku Alphonce Ngonyani akiwa Katibu na Msaidizi wake ni Asha Ligumba.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa