• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Waziri Mabula awataka watumiaji wa vyombo vya moto kuwa makini barabarani

Posted on: February 26th, 2019

Naibu Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Mheshimiwa Angela Mabula amewataka watumiaji wote wa vyombo vya moto vikiwemo magari, pikipiki na bajaji,wawe makini pindi wanapokuwa barabarani ili kuweza kuzuia utokeaji wa ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikileta maafa makubwa katika Taifa.

 Waziri Mabula ameyasema hayo  alipokuwa katika shughuri za kuaga miili tisa ya marehehemu, iliyofanyika katika uwanja wa CCM Tangani, uliopo Ifakara mjini ambao  walifariki 23/2/2019 kufuatia ajali ya gari iliyotokea katika mto Kikwawila ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Kilombero.

Aidha viongozi mbalimbali walihudhuria akiwemo Katibu mkuu wa wizara ya ardhi, Katibu tawala wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya (Malinyi,Kilombero na Ulanga),Viongozi wa dini pamoja na Viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ambao walishirikiana kwa uweledi ili kuhakikisha kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa, licha ya kuwepo kwa majonzi na huzuni kwa kila aliyekuwepo katika eneo hilo.

Pia waziri Mabula amesema kuwa wao kama Serikali wameahidi kugharamia gharama zote za Mazishi kwa marehemu wote na kuhakikisha kila hatua watashirikiana na ndugu wa marehemu ili kufanikisha shughuri ya mazishi ya kila mmoja yanafanyika kwa amani, ambapo gharama zote za mazishi kwa miili yote imefikia kiasi cha shilingi millioni tisini na sita, ikwemo kukodisha ndege mbili kwaajili ya kupeleka miili mafia na ukeerewe.

Akifafanua Zaidi juu ya baadhi ya miili kupelekwa kwa ndege na mingine kupelekwa kwa magari, waziri huyo alisema kuwa usafirishaji wa miili hiyo kuelekea ukerewe na mafia ni mgumu sana hivyo ingeweza kupelekea maiti hizo kucheleweshwa kuzikwa ukilinganisha na maeneo kama Mbeya, dar es salaam na Iringa ambapo miili mingine imepelekwa.

Hata hivyo waziri ametoa pole kwa watumishi wote waliofikwa na msiba huo pamoja na ndugu,jamaa na marafiki ambao wameguswa na msiba huo na kuwaomba washirikiane kuombea Taifa kwa ujumla ili lisiwe na ajali kama zinazotokea sasa.

Sanjari na hayo amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kilombero ndugu James Ihunyo kwa kuwahi kufika katika eneo la tukio mara baada ya kusikia taarifa za ajali na kushirikiana na watu waloikuwa wakijaribu kunusuru maisha ya watu hao waliopata ajali.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2019 HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO December 09, 2019
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO March 27, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya wilaya ya Mlimba yakadiria bajeti yake

    January 25, 2021
  • Madiwani sikilizeni wananchi: DC Mlawa

    December 19, 2020
  • maafisa kilimo wekeni malengo

    November 27, 2020
  • Mhandisi Kalobelo azindua msimu mpya wa kilimo 2020/2021 Wilayani Mlimba ,azitaka Halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika.

    November 27, 2020
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa