• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Vivutio vya kitalii

HIFADHI YATAIFA YA MILIMA YA UDZUNGWA

 Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa ni Hifadhi katika Tanzania ambayo ina wanyama (Mbega Wekundu) ambao hawapatikani katika asehemu yoyote Duniani. Pia ina mimea ambayo haipatikani katika sehemu yoyote dunuani isipokuwa katika hifadhi hii pekee. Vivutio vingine ni Maporomoko ya Sanje, Nyani waitwao Sanje Mangabay, Kilele cha Mlima Bokela na wanyama wengine wengi.


 VYURA WA KIHANSI (KIHANSI SPRAY TOAD)

 Vyura wa Kihansi waligunduliwa mwaka 1996 wakati wa zoezi la tathmini ya athari za Kimazingira wakati Ujenzi wa Mgodi wa kufua Umeme wa maji katika Mto Kihansi. Uvumbuzi wa vyura hawa mwanzoni ilifikiriwa kuwa ni jambo la kawaida na ujenzi wa mradi wa umeme ulidhaniwa kuwa hautakuwa na athari kubwa kwa vyura. Hata hivyo baada ya mgodi huo kuanza kazi mazingira na makazi ya asili ya vyura hao yalibadilika na idadi ya vyura hao ilianza kupungua kwa kasi. Hivi sasa inasadikiwa kuwa vyura hao wametoweka katika bonde la Mto Kihansi na waliochukuliwa ili kunusuru uhai wao bado wanatunzwa katika Bustani ya wanyama ya Toledo na Bronx huko Marekani. Aidha kwa sasa mazingira yanaandaliwa katika Bonde la Kihansi ili vyura hao waweze kurejeshwa katika makazi yao ya asili.

 

BONDE LA MTO KILOMBERO

Wilaya ya Kilombero iko ndani ya Bonde la Mto Kilombero na sehemu nyingine katika mbuga ya wanyama ya Selous. Bonde la Mto Kilombero ni maarufu kwa shughuli za uvuvi na uwindaji wa kitalii. Pia kuna ndege wanaoitwa Kilombero Weever Bird ambao wanapatikana katika Wilaya ya Kilombero pekee hususan katika Bonde la Mto Kilombero.

 Maeneo mengine ya vivutio ni yale yaliyoko katika Mbuga ya wanyama ya Selous kama vile maajabu ya eneo linaloitwa Boma Ulanga, Stiglers Gorge katika Mto Kilombero.

 

MSITU WA HIFADHI ASILIA WA KILOMBERO

Hivi karibuni Wizara ya Maliasili na Utalii iliipandisha hadhi Misitu ya Hifadhi ya Kilombero Magharibi, Iyondo na Matundu kuwa Msitu wa Mazingira Asilia ya Kilombero na kuutangaza kuwa Eneo la Urithi wa Dunia katika Milima ya Tao la Mashariki.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2019 HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO December 09, 2019
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO March 27, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya wilaya ya Mlimba yakadiria bajeti yake

    January 25, 2021
  • Madiwani sikilizeni wananchi: DC Mlawa

    December 19, 2020
  • maafisa kilimo wekeni malengo

    November 27, 2020
  • Mhandisi Kalobelo azindua msimu mpya wa kilimo 2020/2021 Wilayani Mlimba ,azitaka Halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika.

    November 27, 2020
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa