• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

MKUTANO WA BARAZA LA KATA KIPINDI CHA JAN - MACHI, 2024

Posted on: May 8th, 2024

Mhe. Innocent Mwangasa Mwenyekiti wa Halmashauri ameongoza Mkutano wa Baraza la Kata la robo ya tatu kwa mwaka 2023/2024 na kujadili taarifa mbalimbali za utekelezaji wa kazi za kawaida za kata. Katika Mkutano huo, Waheshimiwa Madiwani wamemshukuru kwa dhati Mheshimiwa  Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta mahitaji mbalimbali na kuwafariji wananchi wa kata ya Masagati na Utengule waliopata Mafuriko katika kipindi cha Mvua za Masika.


Waheshimiwa Madiwani wametoa Shukrani kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @ikulu_mawasiliano , Mhe. Kassimu Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @owm_tz, timu ya Mawaziri ikiongozwa na Mhe. Jenista Mhagama, Mhe. Godwin Kunambi @godwin_kunambi Mbunge wa Jimbo la Mlimba, Mhe. Adam Kighoma Malima Mkuu wa Mkoa wa Morogoro @rs_morogoro , Mhe. Wakili Dunstan Kyobya @kyobyad @dc.kilombero na Viongozi pamoja na wananchi mbalimbali waliojitoa kuwasaidia wahanga wa Mafuriko katika Halmashauri.


Aidha, Waheshimiwa Madiwani wamemshukuru Ndugu Jamary I. Abdul @jamaryidrisa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kwa namna alivyoratibu maafa na kusaidia wananchi kupata mahitaji mbalimbali.


Pamoja na pongezi hizo, changamoto mbalimbali zimetolewa katika kata ikiwa ni pamoja na changamoto ya umaliziaji wa maboma ikiwa ni pamoja  Hosteli katika Shule ya Sekondari Matundu Hill ambako boma limekamilika na kuhitaji Fedha za umaliziaji.


Katika hatua nyingine, pongezi zimetolewa kwa kata za Mchombe, Kamwene, Mbingu, Igima na Kata ya Namwawala kwa makusanyo ya mapato kwa kipindi cha Mwezi Machi 2024.


Maelekezo yametolewa kwa kata  zilizofanya vibaya kwenye makusanyo kusimamia ukusanyaji wa mapato kwa kudhibiti upotevu wa mapato ili kukamilisha miradi ya maendeleo kata ambazo hazikukusanya vizuri kata ya Mngeta, Utengule, Mofu, Idete na Masagati.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa