• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Wakuu wa idara Kilombero waonywa kuhusu ushauri mbovu

Posted on: July 3rd, 2020

Pichani juu: Katibu tawala Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobero

KATIBU Tawala Wa Mkoa Wa Morogoro  Mhandisi Emmanuel Kalobelo amesema kuwa Mkuu Wa idara yeyote  ambae ushauri wake hauzingatii kanuni na Sheria na wenye lengo la kuiangamiza halmashauri basi mtu huyo hafai tena kuwa mkuu wa idara katika mkoa huo.

Mhandisi Kalobelo ameyasema hayo jana kata ya Mngeta wakati wa kikao cha Baraza Maalum la Madiwani Wa halmashauri ya Wilaya Mlimba la kujadili taarifa na majibu ya hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Akimwakilisha Mkuu Wa Mkoa huo,Mhandisi Kalobelo alisema ni jambo la kushangaza kwa Mtendaji kutoa ushauri katika vikao viiwe vya wakuu Wa idara ama baraza wakati akielewa ushauri huo anajua kabisa una lengo la kuiingiza halmashauri  katika hasara.

Kauli hiyo ameitoa baada ya kuona moja ya hoja ambazo mdhibiti na mkaguzi Wa hesabu za serikali ameiona katika halmashauri hiyo ambayo inaonyesha halmashauri ilipata hasara ya shilingi milioni 430 kutoka kampuni ya Kilombero Plantatin Ltd (KPL).

Taarifa hiyo ibaonyesha kuwa halmashauri waliipatia KPL mashine ya kukatia ushuru kwa ajili ya zao LA mchele kwa kiwango anbacho kimahesabu kilizidi asilimia 3 ya bei ya soko kwa wakati huo na kwamba asilimia 3 ndio kiwango cha juu cha Sheria kwa tozo za ushuru Wa mazao.

Hata hivyo KPL ilishindwa kuilipa halmashauri na hatimae kupata hasara hiyo na katibu Tawala kuhoji ilikuwaje menejimenti iwakabidhi KPL Mashine ya kukusanyia ushuru badala ya zoezi hilo kulisinamia wenyewe.

Ameitaka menejiment kuhakikisha Fedha hizo zinarudishwa na Mtendaji yeyote atakaebainika anatoa ushauri kama huo atashushwa mamlaka kwani inaonyesha hana nia njema na halmashauri.

Katika hatua nyingine,Katibu tawala huyo ameitaka halmashauri hiyo kubuni miradi mingine mipya ili kuongeza mapato ya halnashauri ikiwemo zao za Michikichi ambalo linaonekana linastawi vizuri wilayani humo

Ameiagiza Tarura kuhakikisha barabara zinazoelekea katika uzalishaji zinarekebishwa ili kuweza kufikiwa kwa urahisi huku pia akiigiza idara ya Maendeleo ya Jamii kukusanya madeni ya wadaiwa Wa mikopo ya vikundi vya wanawake,Vijana na walemavu kabla ya Juni 30 mwaka huu.

Kwa upande wake mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri hiyo Mhandisi Stephano Kaliwa aliahidi kutatua changamoto zilizojitokeza huku akisema kuwa wametoa tani moja ya miche ya mikorosho kwa lengo la kuwa na zao mbadala ili kuongeza mapato ya halmashauri.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa