• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mchuuzi wa samaki apigwa faini kwa kufanya biashara bila leseni.

Posted on: July 11th, 2018

Pichani juu: Mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi akionyesha samaki ambao hawakustahili kuvuliwa kwa afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya kilombero.

katika hali isiyokuwa ya kawaida mchuuzi wa samaki bwana Denis ferdinand amekamatwa akiwa na samaki wadogo huku akiwa hana leseni katika eneo la Namwawala tayari kwa kuwasafirisha kwenda kuwauza mapema jana.

akizungumzia sakata hilo, mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi bi Annete Kitambi alisema kuwa mchuuzi na mvuvi huyo alikamatwa akiwa katika harakati za kuwavusha samaki hao kimagendo, huku akijua wazi kuwa kufanya hivyo ni kunyume na utaratibu unavyotakiwa kuwa.

akijibu tuhuma hizo ndg Ferdinand alisema kuwa ni kweli kuwa anakiri kosa na yupo tayari kulipa faini ingawa alisema kuwa huwa anatumia leseni yake aliyokutwa nayo ambayo siyo kwaajili ya Halmashauri ya wilaya ya kilombero bali aliikatia kwenye mamlaka ya Ifakara mji. na kuhusu suala la kuwa na samaki wadogo sana ambao kwa mujibu wa sheria na wanavyotakiwa kuwa haikutakiwa kabisa kuvuliwa, alisema kuwa hakujua kuwa hilo ni kosa hivyo aliomba msamaha kwa kosa hilo.

Akijibu swali la kuwa samaki hao wanatakiwa kuwa na ukubwa gani ndipo wavuliwe, Bi Kitambi alisema kuwa samaki hao kwa kawaida huwa na kilo kuanzia ishirini mpaka thelathini hivyo kuwahi kuwavua wakiwa wadogo kiasi hicho ni kupoteza mali asili yetu na fahari yetu kwani watakapovuliwa wadogo kiasi hicho itachangia kwa kiasi kikubwa kumaliza kizazi hicho na hivyo kuangamiza zalio (species) hilo.

Aidha Bi kitambi alimuamuru kulipa faini ambayo ni kiasi cha shilingi laki moja na kuamuriwa samaki hao kupigwa tena mnada ambapo pia aliamua kuwanunua yeye mwenyewe ili kuepusha hasara kubwa ambayo angeweza kuipata.

''kwa mujibu wa sheria ni kosa kubwa sana kufanya biashara ya kuvua ama kuchuuza samaki bila ya kuwa na leseni ya kufanya hivyo kutoka kwa halmashauri ya kilombero ikiwa tu biashara hiyo utaifanya kwenye mamlaka ya kilombero, hivyo pamoja na yote hayo unatakiwa pia kukata leseni mara moja ili uweze kufanya kazi yako kihalali''. Alimaliza bi Kitambi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa