• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Afisa elimu msingi Wiliya ya Kilombero akutana na maafisa kata na walimu wakuu

Posted on: January 3rd, 2019

Afisa elimu  msingi wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero Bi.Witness Kimoleta amewagiza maafisa Elimu kata na wakuu wa shule za msingi zote katika wilaya ya Kilombero kuwa  majengo mazuri shuleni  kutumiwa na wanafunzi wa darasa la kwanza hadi darasa la tatu ili kuwatengeneza msingi bora  wa taaluma kwa wanafunzi hao

Hayo amesema katika  kikao cha tathimini na mikakati ya ufundishaji kwa mwaka 2019 ,tarehe 3/1/2019 na Maafisa elimu kata na wakuu wa shule za msingi wilaya ya Kilombero katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, amesema mazingira mazuri humsaidi mtoto kufaulu mitihani ya kujipima kwa darasa la nne na kufaulu darasa la saba.

" Darasa la kwanza hadi darasa la tatu yameonekana kama ni madarasa ya dharura,sasa kupitia kikao hiki  natoa maagizo kwamba madarasa yote mazuri shuleni yawe ya wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la tatu ili kuwajengea msingi mzuri"amesema Kimoleta

Akizungumzia matokeo ya ufaulu  kwa mwaka 2017/2018 amesema idadi ya watahimiwa na ufaulu umepanda jambo ambalo linatoa mwanga kwa  ubora wa utendaji kazi na kuwataka waongeze juhudi katika  ufundishaji bila kutazama changamoto zilizopo huku  akiwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuifanya wilaya ya Kilombero kushika nafasi ya nne kimkoa na nafasi ya 54 kitaifa katka matikeo ya mwaka jana.

Katika hatua nyingine aliwataka walimu na maafasa kata kuwa wabunifu kwa kushirikisha na wadau na kamati mbalimbali katika kutatua changamoto zinazo wakabili wakati wa kutekeleza majukumu yao huku akizitaja  baadhi ya changamoto hizo ni upungufu wa walimu,miundimbinu na ongezeko la watoto wanaoandikishwa mashuleni na kuwaomba kuwa na uvumilivu na lengo moja la kufanyakazi kwa bidii.



Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa