• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

Posted on: July 15th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji Eng. Stephano B. Kaliwa akiwa pamoja na wakuu wa Idara na watendaji kata wakisikiliza Tathimini ya Lishe kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022.


Halmashauri ya Mlimba imefanya tathimini ya shughuli za Lishe katika kipindi cha Mwaka wa fedha 2021/2022 katika vijiji vyote 62, kata 16, vituo vya kutolea huduma za afya 43.Pia idara Mtambuka za Lishe ambazo ni kilimo,Elimu Msingi, Elimu Sekondari na Maendeleao ya Jamii nazo zimekuwa zikitekeleza shughuli za Lishe

Ndugu, Bodygadi S. Buhari Afisa Lishe (W) amesema, Halmashauri ilitenga kutumia mapato ya ndani takribani 60,930,550 na mpaka mwisho wa mwaka wa fedha june, 2022 takribani 58,761,233.6 zimetumika ikiwa ni 96.44%

Baadhi ya shughuli ambazo zimekuwa zikitekelezwa katika kupambana na utapiamlo miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano, akina mama wajawazito, wanaonyonyesha na watu wazima ni pamoja na kutoa elimu ya Lishe kwa jamii, kutoa matibabu ya utapiamlo mkali, kufanya ukaguzi wa usalama na ubora wa vyakula, kuwa na kamati imara ya Lishe ngazi ya Halmashauri na kuendesha vikao kila robo mwaka, kufanya maadhimisho ya siku ya afya na Lishe kila kijiji kwa kila robo mwaka, kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji, kuendesha kampeni ya mwezi wa afya na Lishe (CHNM), Upimaji wa madini joto kwenye chumvi, kufanya ukaguzi wa vyakula, kutoa vidonge vya kuongeza wingi wa damu kwa akina mama wajawazito, kufanya utambuzi wa hali ya Lishe kwa makundi mbalimbali.

Baadhi ya mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na kuwa na wodi maalumu ya kuwatibu watoto wenye utapiamlo mkali, kutoa mafunzo kwa wahudumu wa afya ngazi ya Jamii 105 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za Lishe kwenye jamii, kuchapisha nakala za vitabu kwa ajili ya kutolea taarifa za Lishe kwenye kata zote na vijiji vyote, kuimarisha utoaji wa elimu ya Lishe katika vituo vya kutolea huduma za afya, kuendesha vikao vya tathmini ya Lishe vikishirikisha watendaji wa kata ambao wanawakilisha jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA December 16, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA OC KWA MWEZI JANUARY TSH. 189,174.000/=

    February 07, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE KUCHUKULIWA HATUA

    January 23, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa