• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

BARAZA LA MADIWANI LAWATAKA WATAALAM WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI WA KANDA YA MASHARIKI KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIRADI YA UMWAGILIAJI KILOMBERO

Posted on: April 27th, 2017

Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kilombero katika kikao chake cha robo ya tatu kilichofanyika tarehe 27.04.2017 kimewataka wataalam wa skimu za umwagiliaji kutoka kanda ya mashariki kutatua changamoto za skimu za umwagiliaji katika miradi ya sululu na mbingu kwa kuzifuatilia kwa ukaribu na kutoa majibu yanayoridhisha.


Mwenyekiti wa kamati ya uchumi, ujenzi na mazingira Mh John Chelele ambaye ni diwani wa kata ya Chita alikiambia kikao kuwa wataalam wa kanda wanaosimamia miradi ya skimu za umwagiliaji walifika katika kikao cha kamati na kutoa maelezo ya miradi hiyo ya umwagiliaji ambayo hayakuwaridhisha wajumbe wa kamati, kutokana na wataalam hao kuonekana kutokuwa na ufahamu wa uhalisia wa hali ilivyo katika miradi hiyo ya umwagiliaji.

Wakichangia kwa pamoja Mh. Hilda Mahimbali diwani wa viti maalum tarafa ya Kidatu na Mh. Erasto Mwanyika diwani wa Ching'anda walisisitiza kuwa wataalam hao walielekezwa kwenda kujipanga upya na kuja na ripoti inayojitosheleza kuhusu miradi hiyo ya umwagiliaji hususan katika miradi ya sululu na miradi ya mbingu.

      

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC KYOBYA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WA KATA, VIJIJI NA WAKUSANYA MAPATO WA MLIMBA DC

    July 15, 2025
  • BILIONI 1.25 YAPOKELEWA MLIMBA DC KUJENGA MIUNDOMBINU SHULE ZA MSINGI

    July 15, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA CHANJO NA HERENI KWA AJILI YA MIFUGO

    July 10, 2025
  • MLIMBA YAPANGIWA WAAJIRIWA WAPYA 73

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa