• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

BARAZA LA USHAURI LA WILAYA KILOMBERO LAJA NA MAAZIMIO MATATU

Posted on: January 3rd, 2025

Na, Milka Kaswamila- Mlimba DC

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero mhe. Wakili Dunstan Kyobya, ameongoza kikao cha Baraza la Ushauri la Wilaya ya Kilombero na Kikao cha Kamati ya Sherehe ya Wilaya hiyo, vilivyo fanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimba uliopo katika Halmashauri ya Mji Ifakara.

Katika kikao cha Baraza la ushauri, wajumbe waliridhia kwamba jina la Jimbo la Kilombero libadilishwe na kuitwa Jimbo la Ifakara, barabara ya Mlimba-Uchindile ipandishwe hadhi kutoka TARURA kwenda TANROADS na kasi ya mradi wa maji wa Mlimba, wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5 iongezwe ili wananchi waanze kunufaika na mradi huo.

Kwa upande wa Kamati ya Sherehe, mhe. Kyobya alizipongeza Halmashauri za Mlimba na Ifakara kwa kuwa katika tatu bora kimkoa kwenye matokeo ya mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka 2024, ambapo Halmashauri ya Mji Ifakara ilishika nafasi ya pili kimkoa na Halmashauri ya Mlimba ilishika nafasi ya tatu.

Mhe. Kyobya amezitaka Halmashauri hizo kuanza maandalizi mapema ili katika mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka huu 2025, ziweze kushika nafasi za juu zaidi kimkoa na kitaifa kwa ujumla.

Katika hatua nyingine, mhe. Kyobya ameitaka Halmashauri ya Mlimba kutofautisha tozo za mpunga baina ya wakulima na wafanyabiashara, ambapo ametaka wakulima wanaolima chini ya tani moja wasikatwe ushuru.

Vilevile, ametumia vikao hivyo kuujulisha umma wa Kilombero kuhusu kushuka kwa gharama za kuunganishiwa umeme vijijini kutoka shilingi laki tatu hadi shilingi elfu 27 huku akiukumbusha umma kwamba hivi sasa Wilaya ya Kilombero imekuwa` Mkoa wa TANESCO wa Morogoro Kusini.

Katika kuhitimisha vikao hivyo, mhe. Kyobya amezitaka Halmashauri za Mlimba na Ifakara kuhakikisha mwaka huu wanasimamia vyema suala la utoro wa wanafunzi shuleni, utekelezaji wa shughuli za Lishe ndani ya Halmashauri, usimamizi wa masuala ya ukatili wa kijinsia, ugonjwa wa homa ya matumbo, na usimamizi wa uhifadhi wa mazingira huku akisisitiza kwamba hadi Juni 2025, kila Halmashauri kuhakikisha inapanda miche milioni mbili.

Vikao hivyo viwili vilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa siasa, watendaji wa Kata za Halmashauri ya Mlimba na Ifakara, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kilombero Wakurugenzi na wenyeviti wa Halmashauri hizo pamoja na wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri za Mlimba na Ifakara.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    February 28, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA-MLIMBA

    February 08, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA MRADI WA MIAKA 5 WA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    February 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa