• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Baraza la wanaoishi na VVU Kilombero latenga Zaidi ya milioni 20 kusaidia waathirika wengine.

Posted on: September 11th, 2018

Pichani juu: Naibu waziri wa TAMISEMI Mhe. Josephat Kadenge akikagua bidhaa zinatengenezwa na kikundi cha wakina mama wanaoishi na virusi vya Ukimwi cha upendo.

BARAZA la wanaoishi na virusi  vya Ukimwi katika Wilaya ya Kilombero (KONGA) kwa kushirikiana na taasisi ya SAUTI Yetu wametenga kiasi cha shilingi milioni 20.8 ili kutekeleza shughuli za watu wanaoishi na virudi vya ukimwi katika kata tano katika halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.

Akitoa taarifa mbele ya kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya ukimwi,Mwenyekiti Wa KONGA Halida Kumba amesema Fedha hizo wametenga katika mwaka Wa Fedha 2018/2019 na kata zitakazonufaika ni Kidatu,Mang'ula B,Chita,Mlimba na Utengule.

Kumba amesema kupitia baraza lao halmashauri zote mbili pia zimeweza kuvipa vikundi 18 mtaji Wa kuanzisha shughuli za ujasiliamali na kutoa elimu jinsi ya kuendesha shughulu zao za kiuchumi.

Kuhusu vikundi,amesema halmashauri ya Wilaya ya Kilombero  wamefanikiwa kuanzisha vikundi 40 vyenye wanachama 486 na halmashauri ya mji wa Ifakara ina vikundi 10 vyenye wanachama 107 na bado wanaendelea kuhamasisha wanaoishi na virusi kujiunga katika vikundi.

Aidha Kumba ameipongeza serikali kwa kuwanufaisha waathirika kwa kuwapatia dawa kwa wakati  na wamekuwa wafuasi wazuri Wa tiba na wamefubaza VVU mwilini na pia wameweza kuwafikia makundi maalum kama vile watoto na Vijana balehe.

Hata hivyo,Mwenyekiti huyo ametaja changamoto wanazokumbana nazo ikiwemo umbali wa vituo vya kutolea huduma, hivyo kusababisha kuongeza ufuasi mbaya Wa dawa na utoro vituoni na wanaoishi na virusi kukosa mitaji kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi, hivyo kuiomba serikali kuu iongeze ruzuku kwa halmashauri ili vikundi vya waathirika viweze kufikiwa.

Kwa upande wake Mratibu Wa ukimwi katika halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Hawa Mdoka alisema kama halmashauri, wapo sambamba na KONGA na wametoa kadi 305 za mfuko Wa Afya CHF kwa wanaoishi na virusi vya ukimwi, katika halmashauri hiyo.

Naye Mwenyekiti Wa kamati ya kudumu ya ukimwi Oscar Mukasa, amesema, watahakikisha wanawasiliana na serikali ili kusaidia baraza hilo, kutokana na umuhimu uliopo na kuzitaka halmashauri hizo ziwatazame kwa umakini taasisi zote zinazojishughulisha na uangalizi wa wanaoishi na virusi vya Ukimwi, hasa vikundi vya wanawake ikiwemo kikundi cha Upendo cha Ifakara.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa