• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

DED MLIMBA DC AELEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO AWAMU YA SITA

Posted on: November 3rd, 2023

TUMEWASIKIA NA TUMEWAFIKIA.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Eng. Stephano B. Kaliwa ameeleza mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita katika Mkutano wa Vyombo vya Habari uliofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkoa wa Morogoro  Novemba 2, 2023.


Akibainisha hayo Eng. Stephano B. Kaliwa amesema kuwa katika sekta za Afya, Elimu, Maji na Miundombinu, wameweza kupunguza na kutatua changamoto mbalimbali za Wananchi


Hata hivyo katika sekta ya Afya Serikali imewezesha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya yenye thamani ya Shilingi 3,014,000,000, vituo vya Afya katika kata ya Uchindile, Chita, Igima, mofu na Utengule, Zahanati tisa na vifaa tiba katika Hospital ya Wilaya, vituo vya Afya na zahanati pamoja na ujenzi wa nyumba ya mtumishi 3 kwa 1 na kupelekea upatikanaji wa huduma hiyo muhimu kwa ufanisi.


Sambamba na hayo katika sekta ya Elimu Msingi imeboreshwa kwa kujengewa shule 15 mpya na shule 3 zitasajiliwa mwaka huu. Ujenzi wa bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum shule ya Msingi Ngajengwa, uendelezaji wa miradi ya Boost na shule uboreshaji wa shule Kongwe pamoja na ujenzi wa shule ya mchepuo wa kingereza.

Aidha kwa upande wa Elimu Sekondari imejengwa shule ya Msingi Ihenga, Merera, Miembeni Girls, Matema, Chiwachiwa, na shule ya Sekondari mpya kata ya Mngeta.

Faida za Miradi ya Elimu imesaidia kuondoa Utoro kwa wanafunzi, kutembea umbali mrefu kupata huduma za kielimu na kuondoa adha ya walimu kukosa makazi.


Mafanikio Mengine kwa ya Kilimo, uendelezaji wa shamba la korosho katika kata ya Kamwene jumla ya ekari 135 zinalimwa pamoja na kilimo cha maparachichi 8,878 kata ya Uchindile na shamba la Miti ekari 2500.


Katika sekta ya Maji, miradi mikubwa imejengwa na inaendelea kutekelezwa katika kata ya Mbingu, Mlimba, Uchindile, Chita(Merera/Idunda) , na Namwawala (Kisegese)

Mkutano huo umehudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro ukiwa na lengo la utekelezaji wa Kampeni ya kutangaza mafanikio ya Serikali kwa miaka mitatu iliyozinduliwa Novemba 1, 2023 Jijini Dodoma.


*Mlimba right destination for investment*

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa