• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Dokta John Pombe Magufuli Afariki Dunia.

Posted on: March 18th, 2021

Aliyekuwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli mapema jana amefariki dunia katika Hospitali ya Mzena iliyopo maeneo ya Kijitonyama jijini Dar es salaam.

Taarifa hiyo ya Msiba imetolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ambapo amesema kuwa Marehemu alipelekwa katika hospitali ya Jakaya mrisho Kikwete kwa shida ya Umeme wa Moyo ambapo alitolewa na kurudi katika shughuli zake kabla ya kuzidiwa ten ana kukimbizwa katika hospitali ya Mzena ambapo ilipotimu majira ya saa kumi na moja jioni siku ya Tarehe 17/03/2021 aliaga Dunia.

Dr Magufuli atakumbukwa kwa umahiri wake wa kutimiza matakwa yake kwa vitendo kwani tayari alikuwa katika mikakati mizuri ya kuiunganisha Tanzania kwa barabara za lami, alifanikiwa kuihamisha Tanzania na Kuipeleka Dodoma huku akisimamia vyema ulipaji wa kodi uliopelekea kununua ndege kadhaa za serikali hali iliyopelekea kufufua shirika la ndege la Tanzania, huku akisisitiza watu kufanya kazi kwa bidi na kujifunga mkanda kwaajili ya maendeleo ya watanzania wote hasa wale masikini.

Alihakikisha kila wilaya inajenga Hospitali zake huku akifufua bwawa la umeme la mwalimu Nyerere ambapo awali lilijulikana kama Stiglers Gorge, alifanikiwa pia kurudisha heshima ya madini kwa kuweza kufanikisha mikataba iliyopelekea Tanzania kupata faida kubwa sana tofauti na awali huku akifanikiwa kujenga ukuta mkubwa kule Mirerani Arusha ambapo ilikuwa ni maalum kwa kuzuia utoroshwaji wa madini huku kila mkoa ambao ulikuwa na madini ulijengewa soko kubwa la madini na mabo mengine mengi aliyoyafanya hayataweza kusahaulika.

Bwana Ametoa, na bwana ametwaa,

Jina lake lihimidiwe,

Mwanga wa milele umpe eee bwana,

Apumzike kwa amani,

AMINA

Mungu ailaze Roho ya Marehemu Dokta John Pombe Joseph Magufuli, Mahali pema Peponi.

AAMIYN.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 24, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa