• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Hatimae ujenzi wa barabara ya Kidatu Ifakara wazinduliwa.

Posted on: May 7th, 2018

Pichani juu mheshimiwa Rais John Magufuli akikata utepe pamoja na baadhi ya wafadhili na viongozi wengine, kuashiria kufunguliwa kwa ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli  mwishoni mwa wiki hii ameweka jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya Kidatu – Ifakara hapa Wilayani Kilombero itakayojengwa kwa kiwango cha lami ambayo ina urefu wa kilometa 66.9.

Aidha, Rais Magufuli amewataka wananchi wa Maeneo ambayo barabara hiyo inapita kutoa ushirikiano wa dhati kwa Mkandarasi wa kampuni ya Renolds Construction Company Ltd  yenye makao yake  makuu nchini  Nigeria wanaojenga barabara hiyo ili aweze kukamilisha barabara hiyo kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika.

Amesema Barabara hiyo ambayo ujenzi wake utakamilika mwaka 2020, ni muhimu kwa sababu ni kiunganishi cha barabra kuu ya TANZAM kuanzia Mikumi  - Kidatu – Ifakara – Mahenge hadi pori la akiba la Selous.

Akizungumza zaidi kwenye hutuba yake Rais Magufuli amesema kuwa, barabara hiyo ni kiunganishi cha barabara kuu ya ukanda wa kusini ya Mtwara – Mingoyo – Masasi – Tunduru – Songea – Mbinga hadi Mbamba Bay. Hivyo  itarahisisha usafiri na usafirishaji wa Mazao na mali ghafi kutoka na kwenda katika bonde la mto Kilombero hususan Wilaya za Kilosa, Kilombero, Malinyi na Ulanga.,

Kwa upande wake Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbawala amesema kuwa Mkandarasi wa barabara tayari yuko eneo la ujenzi,  kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa asilimia mia moja.

Barabara hii hadi kukamilika kwake itagharimu kiasi cha shilingi za kitanzania 104.914 bil. ikiwa ni ufadhili wa Umoja wa nchi za Ulaya zilizotoa asilimia 49.15 ya gharama ya ujenzi huo, Uingereza 40.13% USAID 10.72 na gharama iliyobaki italipwa na Serikali ya Tanzania.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa