• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

KAMATI YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA MRADI WA BOOST MLIMBA DC

Posted on: February 21st, 2024

KAMATI YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA MRADI WA BOOST HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA.


Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),  imefanya ukaguzi wa Mradi wa kuboresha Elimu ya Msingi  (Boost)  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba shule ya Msingi Igima kata ya Igima kwa kukagua Ujenzi wa Madarasa ya mradi huo.


Mhe. Dennis Londo Mwenyekiti wa Kamati ya TAMISEMI ameipongeza Menejimenti na Watumishi wa Halmashauri kwa kusimama kwa ueledi na ubora mradi wa Boost kwa shule ya Msingi Igima na kusema Mradi unaakisi thamani halisi ya fedha iliyotolewa. Aidha, Mhe. Dennis Londo ametoa Maagizo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya kuhakikisha anashgulikia suala la Kivuko cha TAZARA ili kurahisisha njia ya wanafunzi kwenda Shuleni bila kuathiriwa na changamoto hiyo.

Pili, ameuagiza uongozi wa Halmashauri kuhakikisha shule inaendelea kutunzwa na kuwa katika Mazingira safi ya kutolea huduma ya kielimu.


Mradi huu wa Boost umegharimu Jumla ya kiasi cha shilingi Milioni mia nne sabini na tano na laki tatu, kwa kujenga vyumba vya madarasa 16, vyumba 2 vya  madarasa ya Elimu ya awali, Jengo moja la Utawala na matundu ya Vyoo 28 vya wanafunzi pamoja na walimu.

Shule ya Msingi Igima ina Jumla wanafunzi 1023 ambapo (Me 484 Ke 539) walimu 10 (Ke 5, Me 5)


Mhe. Justine Nyamoga (MB. Kilolo) amewashauri wazazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa suala la lishe mashuleni na kuhakikisha wazazi/ walezi wanapeleka vyakula shuleni ili wanafunzi wapate mahitaji ya chakula wakiwa shuleni kusaidia kutopoteza vipindi shuleni, amesisitiza zaidi  kuzingatia lishe bora kwa wanafunzi hao.


Pia Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi amewapongeza walimu wa shule ya Msingi kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Boost na kuomba eneo la vyoo vya wanafunzi wawekewe vioo ili kumfanya mwanafunzi kuendelea kuwa nadhifu. Pamoja na hivyo Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi ameeleza umuhimu wa kujengwa kwa Bwawa la Mwalimi nyerere ni Kuzuia mafuriko ya mto rufiji, kuzalisha Umeme, kilimo cha Umwagiliaji na Mwisho ni kutunza Mazingira.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa