• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YATEMBELEA FAMILIA YA MAREHEMU GODFREY LUENA

Posted on: February 23rd, 2018

Mapema leo kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya kilombero ikishirikiana na viongozi kadhaa wa halmashauri ya wilaya ya kilomberoimetembelea familia ya aliyekuwa Diwani wa kata ya namwawala marehemu Godfrey Luena kwaajili ya kutoa salamu za rambirambi na kuwafariji wafiwa kutokana na msiba huo.

Akizungumza na wafiwa pamoja na wananchi wa kijiji hicho cha Namwawala, mwenyekiti wa kamati hiyo ya ulinzi na usalama ya wilayaambae pia ni mkuu wa wilaya ya kilombero mheshimiwa James Ihunyo alisema kuwa serikali imesikitishwa sana na kitendo hicho kibaya kilichofanywa na watu ambao walikuwa na nia ya kujichukulia sheria mkononi, alisisitiza kuwa serikali inakilaani kitendo hicho kwa nguvu kubwa huku akiomba ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi ili kuhakikisha watu wote waliofanya kitendo hicho wanachukuliwa hatua za kisheria ili kukomesha vitendo hivyo.

Nae kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya kilombero ndugu Mohammed Ramadhani alitilia mkazo suala hilo na kusema kuwa halmashauri imesikitishwa sana na kitendo hicho na hivyo kuwasihi sana wananchi kuwa watulivu katika kipindi hiki kigumu wanachopitia katika kufanikisha kumhifadhi ndugu yetu bwana Luena, pamoja na yote hayo bwana Ramadhani alisisitiza kuwa Halmashauri itakuwa bega kwa bega na familia hii mpaka pale marehemu Luena atakapohifadhiwa katika nyumba yake ya milele.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Daudi Ligazio alikiri kuwa amempoteza kiongozi muadilifu na shupavu katika baraza lake la madiwani, huku akionekana kushindwa kujizuia kwa majonzi alisema kuwa hakika pengo lake halitazibika, na kuwa kama baraza watamkumbuka sana kutokana na hoja zake na namna alivyo shupavu katika kusimamia hoja alizoziamini.

Kwa upande wa familia akitoa ratiba ya msiba huo baba wa marehemu ndg Joakim Luena alisema kuwa, anaishukuru sana kamati ya ulinzi na usalama na uongozi mzima wa halmashauri ya wilaya ya kilombero kwa kuja kumzika Ndg Luena, lakini pia alitanabaisha kuwa mazishi ya mwanae yatafanyika tarehe 27/2/2018 siku ya jumanne, katika meeneo ya kijiji hicho cha Namwawala, kinachosubiriwa kwa sasa ni ndugu zake na pindi watakapofika tu basi taratibu zote za maziko zitafuatwa.


BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE, AMINA



Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa