• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Kampuni ya sukari kilombero yatakiwa kutoa gawio mapema

Posted on: January 12th, 2019

SERIKALI imesema hairidhishwi na utoaji wa Fedha za gawio kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero (KSC) licha ya ukubwa wake na uzalishaji Mkubwa wa sukari kwa sasa.

Kauli hiyo imetolewa Jana na naibu waziri Wa Kilimo  na Ushirika Omary Mgumba wakati alipotembelea  na kujionea uzalishaji na uhifadhi wa sukari katika kiwanda hicho.

Mgumba alisema serikali haifurahishwi na utoaji Wa gawio hilo licha ya kumiliki hisa asilimia 25 za kiwanda na kuitaka menejimenti kutoa kwa wakati gawio hilo na ndipo serikali itaona njia gani za kuweza kukisaidia kiwanda hicho.

"Haiwezekani viwanda vidogo vya sukari vinatoa gawio kubwa na kwa wakati na nyinyi mna kiwanda kikubwa tu hapa lakini mmekuwa wagumu kutoa gawio kwa wakati, sasa ndugu zangu jirekebisheni huu uwekezaji tuliouwekeza huku tunataka tupate mafao makubwa zaidi,"alisisitiza Mgumba.

Alisema kwa sasa wameamua kuinua Kilimo na uzalishaji Wa miwa na njia ya kufanikiwa ni lazima uwepo ushirikiano baina ya viwanda,wakulima na serikali na hiyo ndio nguvu ya kiuchumi.

Ameipongeza KSC kwakuisikiliza serikali na kuweka bei nzuri ya tani ya miwa kwa wakulima Wa nje nakusema kuwa hayo ni Maendeleo kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

Akizungumzia upungufu Wasukari ya viwandani ambapo imepelekea kuingizwa kinyemela sukari tokanje,Mgumba alisema kama tunataka kutibu sukari ya magendo toka nje ni lazimatuwe na uzalishaji Wa kutosha Wa sukari ya viwandani toka ndani.

Alisema tunatakiwa kujenga uchumi wetu kwa uzalishaji zaidi nchini kwani inasaidia kupatikana kwaajira kwa wananchi wengi wazawa na pia kuuza ndani na nje ya nchi sukari yetu.

Awali mkurugenzi Mkuu Wa KSC Guy Williams alisema kwa sasa uzalishaji Wa sukari umeongezeka kwani hivi sasawamehifadhi  tani 74,000 huku uwezo wao Wa kuhifadhi ni tani 60,000.

Alitaja sababu za kuongezekauzalishaji ni kutokana na kuchelewa kunyesha mvua na kusema kuwa Mpango waohivi sasa kupanua kiwanda  na kuzalisha tani 265,000 toka uzalishaji tani130,000 kwa mwaka.

Aidha mkurugenzi huyo alisema pia wanampango wa kuongeza wakulima wa nje kutoka 8000 hadi kufikia wakulima16,000 na pia kwa sasa wanatanua soko lao ambapo hata mtu akihitaji tani moja anauziwa kiwandani.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA December 16, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA OC KWA MWEZI JANUARY TSH. 189,174.000/=

    February 07, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE KUCHUKULIWA HATUA

    January 23, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa