• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Kilombero wafanikiwa kudhibiti kichaa cha Mbwa.

Posted on: September 3rd, 2018

Pichani juu: Mkuu wa kitengo cha Mifugo na uvuvi Kilombero (mwenye kofia ya rangi ya chungwa) Dokta Annete Kitambi, akipiga makofi huku akimsikiliza moja ya viongozi walipotembelea kata ya Mchombe.

Halmashauri ya wilaya ya Kilombero kupitia afisa mifugo na uvuvi, Dr. Annete Kitambi, mwishoni mwa wiki iliyopita, imefanikiwa kuhamasihsa uchanjaji wa kichaa cha mbwa kwa mbwa wote waliopo katika kata zaidi ya nne ambazo ni Igima, Mchombe, Mbingu na Mgeta, na wamekwishafanikiwa kuwachanja mbwa hao kwa gharama za wamiliki wa mbwa hao.

Hayo yamesemwa na Dokta Kitambi alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi, pale mwandishi alipotaka kujua kuwa kutokana na wimbi kubwa sana la kung’atwa kwa watu na mbwa hao, kama halmashauri wamechukua hatua gani.

Akitoa tathmini ya zoezi la uchanjaji wa mbwa hao katika maeneo hayo, Dokta Kitambi alisema kuwa, tayari mbwa zaidi ya sitini tangu jumamosi hii, wamekwishachanjwa na kupumzishwa, huku akisema kuwa kwa kushirikiana na mganga mkuu wa Halmashauri ya Kilombero, Dokta Samwel Lema, tayari waathirika wote waliong’atwa na mbwa hao wamekwishapatiwa chanjo, huku chanjo nyingine za binadamu (Vial) zaidi ya tisa zikiwa zimepelekwa huko kwa usalama zaidi wa wananchi ambao watakumbwa na mkasa wa kung’atwa, ingawa bado chanjo nyingine zaidi ya thelathini zinahitajika.

Nae mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Dokta Samweli Lema, amesema kuwa, tayari wamekwishaagiza chanjo za binaadamu zaidi ya 200 kutoka Bohari kuu ya madawa (MSD), kwaajili ya tahadhali kwa wananchi wote watakaopatwa na mkasa huo wa kung’atwa na mbwa, ambapo chanjo hizo amesema kuwa zitatolewa bure kabisa, kwa wananchi wote wa wilaya ya Kilombero.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Hamlashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano B. Kaliwa akiongoza kikao cha Manejimenti.

    August 13, 2022
  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa