• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Kuongeza virutubishi kwenye chakula kuna faida- DC.

Posted on: March 17th, 2021

Pichani juu baadhi ya wadau wakimsikiliza mratibu wa mradi huu wa Lishe Edelevu Ndg Revocatus Kashaga

Mkuu wa wilaya ya Kilombero ndg Ismail Mlawa amesema kuwa kuongeza virutubishi kwenye chakula kuna faida kubwa sana, hasa ukizingatia kuwa uandaaji wa vyakula hivyo huondoa virutubishi vyote vya vyakula hivyo, na hivyo kuviacha vyakula hivyo kuwa kama makapi ambayo hayana faida yoyote ile Zaidi ya kujaza tumbo tu wa walaji.

Ndg Mlawa ameyasema hayo katika kikao kilichofanyika mngeta ambacho kiliwashirikisha wadau mbalimbali wa lishe katika wilaya ya Kilombero, katika kujadili kuhusu masuala ya lishe katika wilaya hiyo.

Katika hatua nyingine, Mratibu wa mradi huo ndugu Revocatus Kashaga amesema kuwa wamejitahidi kwa kiasi kikubwa mno kushawishi shule mbalimbali kuhakikisha kuwa wanaongeza virutubishi hivyo kwenye chakula na tayari wamekwishaanza na shule kadhaa kwani lengo lao ni kulenga Watoto walioko mashuleni hususan Watoto wa shule za ‘primary’.

Awali akitoa taarifa ya Halmashauri ya wilaya ya Mlimba, Afisa lishe wilaya ya Mlimba ndg Goodluck Simon amesema kuwa katika Halmashauri ya wilaya ya Mlimba kuna Watoto walio chini ya miaka 2 wapo Zaidi ya 15000 na wale walio chini ya miaka mitano ni 39,000 na kwa takwimu za mwezi oktoba mpaka disemba inaonesha kuwa kuna Watoto 13 walioripotiwa kuwa na utapia mlo mkali san ana tayari wamekwishapata matibabu kutoka kwenye vituo vya Afya vya Mlimba na Mgeta na mpaka sasa wanaendelea vizuri.

Nae mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Injinia Stephano Kaliwa amesema kuwa kwa sasa ukiangalia kwenye graph ya lishe kimkoa tupo katika nafasi ambayo sio nzuri hii inatokana na ukweli kwamba mwanzoni hatukuwa na wodi za Watoto wanaoumwa utapiamlo mkali hivyo kutulazimu kuwapeleka Watoto wote katika Hospitali ya Mtakatifu Francis iliyopo Ifakara kitendo ambacho kilikuwa kikiwapa maksi Ifakara hivyo kwa sasa hawataweza tena kurudi katika nafasi hizo mbaya kwani tayari wamekwishatenga wodi mbili ambapo moja ipo katika kituo cha Afya mlimba na nyingine ipo Mngeta.

Kikao hicho kimeandaliwa na wadau wa masuala ya Lishe ambao ni USAID LISHE ENDELEVU, na kinahusisha baadhi ya wakuu wa idara ambao huwa ni chanzo cha masuala ya lishe na wadau wote ambao ni Asasi zisizo za kiserikali ambazo zinahusiana na masuala ya lishe.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa