• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Maafisa kilimo wekeni malengo

Posted on: November 27th, 2020

Pichani juu: Mhandisi Emanuel Kalobelo (mwenye suti Nyeusi) akizungumza na Dr. Annete Kitambi Afisa Mifugo na Uvuvi katika banda la Halmashauri ya wilaya ya Mlimba.

MAAFISA kilimo katika wilaya zote mkoani Morogoro wametakiwa kujiwekea malengo katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara ili kuufanya mkoa huo kuwa kinara ya uzalishaji wa mazao hayo nchini.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu tawala wa mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo wakati wa uzinduzi wa msimu wa kilimo kimkoa uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika kijiji cha Njage halmashauri ya wilaya ya Mlimba.

Akimwakilisha mkuu wa mkoa huo,Mhandisi Kalobelo amesema kwa kujiwekea malengo mkoa utajua wapi kuna tatizo na litatatuliwa vipi ili kuweza kumkomboa mkulima katika mazao anayolima  na bila kufanya hivyo tutakuwa tunarudi nyuma kwani hatutakuwa na takwimu za kutosha.

Amesema kwa msimu huu wa kilimo ni muhimu kwa maafisa hao kilimo kuwakumbushia wananchi mazao gani yanafaa kwa kilimo na kwa wakati gani kwa kufanya tafiti mbalimbali za mbegu na mbolea na kwa kufanya hivyo watakuwa wamemwinua kiuchumi mkulima.

Amebainisha kuwa serikali ya mkoa huo ina mpango wa kuwakaribisha wataalamu wa utafiti wa udongo ili kubaini udongo wa maeneo mbalimbali yanafaa kwa kilimo cha aina gani lengo ni kujitathmini na kupiga hatua ya maendeleo katika maeneo yote mkoani humo.

Katibu tawala huyo pia amezikumbushia serikali za kata na vijiji kuhakikisha wanashirikiana na wataalamu wa kilimo kwa kupanga maeneo ya wakulima na wafugaji na hawatotaka kusikia migogoro ya wakulima na wafugaji.

Aidha katibu tawala huyo amezitaka halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika ili iwe chachu katika maendeleo ya kilimo na pia wahakikishe pembejeo zote zinazohitajika zinakuwepo maeneo ya wakulima kabla ya uzalishaji.

Hata hivyo Mhandisi Kalobelo amewaomba wawekezaji kuwekeza mkoani humo ili kuweza kuchakata mazao mbalimbali na kumpatia faida mkulima wa mazao yake na kutaka maghala yote yaliyojengwa tokana na miradi mbalimbali yatumike na wawekezaji waanze kuweka mazao na sio kukaa bila mazao.

Kwa upande wao wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani humo wamemuahidi katibu tawala huyo kuhakikisha kuwa wanasimamia maelekezo ya serikali ili wakulima wake kupata mazao mengi na kufanya mkoa huo kuwa ghala la chakula.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa