• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

HALMASHAURI KILOMBERO YAKADIRIA KUKUSANYA BILIONI 3.9 TOKA VYANZO VYA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Posted on: January 19th, 2018

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilombero inakadiriakukusanya kiasi cha shilingi bilioni 3,942,213,600.00 kutoka vyanzo vyake vya ndanikwa mwaka Wa Fedha 2018/2019.

Akizungumza katika kikao maalum cha kupitishabajeti ya halmashauri hiyo,mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri hiyo Dennis Londoalisema makadirio hayo yameongezeka kwa shilingi milioni 338,003,600.00 ikiwani Sawa na ongezeko LA asilimia 9 kulinganishwa na makadirio ya shilingibilioni 3,604,210,000.00 ya mwaka Wa Fedha uliopita 2017/2018.

Sambamba na hilo halmashauri hiyo kwa mwaka WaFedha 2018/2019 inakadiria kupata jumla ya shilingi bilioni 47,056,355,278.00kutoka vyanzo mbalimbali.

Londo alisema uandaaji Wa bajeti hiyo unazingatiamaeneo mahusudi na ya kipaumbele yaliyoainishwa katika Mpango mkakati Wahalmashauri Wa mwaka 2016/2017-2020/2021.

Ameyataja maeneo hayo kisekta kuwa no kilimo naMifugo,elimu ya msingi na sekondari,Afya,Maji,miundombinu,utawala,Fedha naMipango,uvuvi na Ardhi,maliasili na Misitu.

Akielezea mwaka unaomalizika Wa 2017/2018,Londoalisema halmashauri iliidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni 40.5 kutoka vyanzombalimbali kwa ajili ya utekelezaji Wa shughuli mbalimbali na hadi kufikiaDisemba 2017 halmashauri ilishakusanya jumla ya shilingi 17.207,371,624.60 Sawana asilimia 42.49 ya makisio ya mwaka.

Mkurugenzi huyo alibainisha kuwa hadi kufikuanusu mwaka 2017/2018 halmashauri kupitia mapato yake ya ndani na Fedhailiyopokelewa kutoka serikali kuu imefanikiwa kufikia mafanikio mbalimbaliyakiwemo kukamilika kwa mradi Wa Maji kijiji cha Msolwa Ujamaa na Nyange namradi Wa uchimbaji visima 50 vya Maji kwa kushirikiana na shirika LA HVC nahalmashauri.

Pia utekelezaji Wa mradi Wa Waridi kuimarishwa nakukarabati miundombinu ya Maji katika Kata za Kiberege,mang'ula naKidatu,ukamikishaji Wa vyumba vya madarasa 89 matundu ya vyoo na Nyumba zawalimu katika shule za msingi,vijiji 13 vimefanikiwa Mpango Wa matumuzi bora yaArdhi na hati 18953 za kimila zimeandaliwa na vipande vya Ardhi 22040vilipimwa.

Hata hivyo mkurugenzi huyo ametaja changamotombalimbali zilizokawia kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwemo kuchelewakupatikana kwa Fedha za miradi hasa za ruzuku ya Maendeleo kwa serikali zamitaa,itikadi za vyama vya kisiasa kuingizwa kwenye miradi ya Maendeleo nawakandarasi wengi kukosa uwezo Wa kifedha kukamilisha miradi kwa wakati.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC KYOBYA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WA KATA, VIJIJI NA WAKUSANYA MAPATO WA MLIMBA DC

    July 15, 2025
  • BILIONI 1.25 YAPOKELEWA MLIMBA DC KUJENGA MIUNDOMBINU SHULE ZA MSINGI

    July 15, 2025
  • MLIMBA YAPOKEA CHANJO NA HERENI KWA AJILI YA MIFUGO

    July 10, 2025
  • MLIMBA YAPANGIWA WAAJIRIWA WAPYA 73

    July 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa