• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

,Mamluki kubainiwa katika michezo ya UMINTASHUNTA

Posted on: June 18th, 2019

Afisa elimu wa Mkoa wa Morogoro Injinia mwalimu Joyce Balabuga amesikitishwa na kupatikana kwa vijana mamluki ambao hawakustahili kujiunga na michezo hiyo ya UMINTASHUNTA ikiwa ni kati ya watoto 616 ambao waliwasili kambini kwa ajili ya michezo hiyo mamluki ni vijana 34 ambao wametokea katika shule za sekondari na vyuo huku wanaostahili ni vijana kutoka katika shule za msingi.

Akizungumza katika zoezi la ufungaji wa michezo hiyo ya UMINTASHUNTA katika vuwanja vya shule ya sekondari ya wanawake Ifakara Balabuga amesema kuwa kitendo hicho kimemsikitisha sana kwani michezo ni maadili lakini bado wamepatikana watu waliovunja maadili hivyo kuomba vitendo vya namna hyo visijirudie tena kwa awamu zijazo.

Kwa upande wake Monica Saile Andrew ambaye ni kaimu mkurugenzi katika Halmashauri ya mji wa Ifakara amempongeza Injinia Joyce Balabuga kwa kuwabaini mamluki walioingia katika michezo hiyo huku akitoa mapendekezo yake kwa Halmashauri kutenga bajeti ya michezo ili kuwawezesha maafisa michezo na walimu kwa ujumla kutumia vema taaluma zao kwa ufasaha.

Lakini pia Andrew ametoa rai kwa walimu nwa michezo kuwafundisha watoto michezo ili kujenga vipaji na sio kuwachukua mamluki ambao wanakuja kwa lengo la kuwazibia nafasi zao kwa wale  wenzao wanaostahili.

Aidha afsa michezo wa Mkoa wa Morogoro Grace Njau, ameeleza moja ya changamoto iliyoikabili michezo hiyo ua UMINTASHUNTA kwa kipindi hiki ni kwa baadhi ya walimu na makocha kuwaingiza watu wasiostahili kushiriki katika michezo hiyo(mamluki)

Ikumbukwe kuwa vijana hao waliwasili katika kambi hiyo mnamo tyarehe 14/6/2019, ambapo wakiwa jumla ya wanafunzi 616 wakiambatana na walimu 63 pamoja na madaktari 8, ambapo hali ya kambi ilikuwa sala huku lengo kuu la mashindano hayo ni kupata timu ambayo itawakilisha Mkoa wa Morogoro katika mashin dano ya kitaifa yatakayofanyika Mtwara kuanzia tarehe 23/6/2019 hadi tarehe 4/7/2019, pia kuinua vipaji vilivyopo katika ngazi ya wilaya, mkoa hadi kufikiakatika ngazi ya  kitaifa.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa