• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Marufuku watendaji kutoa vibali kusafirisha mifugo

Posted on: May 6th, 2020

Pichani juu: Mkuu wa wilaya ya Kilombero Chifu jAmes Ihunyo.

SERIKALI wilayani Kilombero imepiga marufuku kwa wenyeviti ama watendaji Wa ngazi za vijiji na kata kutoa vibali vya uhamishaji Wa mifugo na zoezi hilo sasa litasinamiwa na Afisa Mifugo Wa halmashauri.

Akizungumza na wananchi Wa Kata ya Mofu,Mkuu Wa Wilaya hiyo James Ihunyo amesema kumekuwa na tatizo la uingizwaji kinyemela Wa Mifugo katika kata hiyo na maeneo mengi wilayani na hiyo usababishwa na baadhi ya wenyeviti ama watendaji kuruhusu Mifugo kuingia ama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Ihunyo amesema tatizo la uingiaji Wa Mifugo wilayani humo uchangiwa na viongozi ambao wapo tayari kupokea rushwa ili baadae kuleta migogoro ya wakulina na Wafugaji.

Amesema malalamiko mengi ya wananchi katika kata hiyo kuhusu migogoro ya wakulina na Wafugaji ni kuwa suala hilo uchangiwa na viongozi wao kwani wao ujali zaidi rushwa bila kujua athari za huko mbele.

Mkuu huyo wa wilaya amesema kuanzia sasa kibali cha kutoa Mifugo kutoka eneo moja kwenda eneo jingine litafanywa na Afisa Mifugo kwa niaba yake na Mtendaji yeyote atakaejihusisha atachukuliwa hatua kali za kinidhamu na hata kufukuzwa kazi.

Aidha Mkuu huyo Wa Wilaya amemuagiza mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephani Kaliwa  kupeleka wataalamu ili kuhakiki usajili Wa Mifugo uliofanywa siku za nyuma na mfugaji yeyote aliyeongeza Mifugo itabidi Mifugo hiyo iondolewe haraka.

Katika hatua nyingine mkuu huyo Wa Wilaya amemtaka Meneja Wa pori tengefu Kilombero kupitia Mamlaka ya Usimanuzi Wanyamapori Nchini(TAWA) kuweka kambi katika eneo la Mofu tokana na eneo hilo kukithiri kwa Mifugo ibayoingia kwa wingi kutoka Wilaya Jirani za Ulanga na Malinyi.

Ihunyo amesema kwa sasa makundi makubwa ya Mifugo yapo katika eneo la hifadhi za pori tengefu na Tawa wakiweka kambi katika eneo hilo litasaidia kuzuia Mifugo mingi kuingia katika Kata hiyo sambamba na kata za Mngeta,Chita na Mlimba.

Awali mkurugenzi Mtendaji Wa halmashsuri ya wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa alizitaja Jamii za wakulima na Wafugaji kuwa upendo na kuondokana na chuki kwani shughuli wanazofanya zinategemeana  na wakizitumia vizuri changamoto zilizopo zaweza kuwa fursa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MAANDISHI WA MAAFISA UGANI KWA AJILI YA MRADI WA MIFUMO YA CHAKULA, MARUMIZI YA ARDHI NA UREJESHAJI WA MAZINGIRA (FOLUR) KATIKA HALMASHAURI YA MLIMBA December 06, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFYA AZURU MLIMBA DC

    November 19, 2025
  • MWANZO WA SAFARI YA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA KATI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YANZANZIBAR NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA

    October 23, 2025
  • TAARIFA YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WALOFANYA MTIHANI WA TAIFA 2025 MLIMBA DC

    October 23, 2025
  • MKURUGENZI MLIMBADC AFANYA MAZUNGUMZO NA TIMU YA MKOA YA USIMAMIZI WA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

    October 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa