• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Milioni mia saba zatengwa kwaajili ya barabara Mlimba

Posted on: September 21st, 2021

Pichani juu: Mbunge wa jimbo la Mlimba akizungumza jambo kwenye baraza la kata

Jumla ya shilingi Milioni mia saba (700,000,000/=) zimetengwa katika mwaka huu wa fedha wa 2021/2022 kwaajili ya ukarabati wa barabara zote zinazoingia kwenye sehemu mbalimbali katika jimbo hili la Mlimba.

Hayo yamesemwa na Mbunge wa jimbo la Mlimba Ndg Gdwin Kunambi, alipokuwa akizungumza na watendaji wa kata pamoja na watumishi na viongozi wengine jana, katika kikao cha baraza la kata kilichofanyika jana katika ukumbi wa Cluster uliopo Mchombe katika Halmashauri ya wilaya ya Mlimba.

Akizungumza zaidi Ndg Kunambi amesema kuwa katika jimbo la Mlimba kuna jumla ya Kilometa zisizopungua 1000, ambazo ni nyingi sana ukilinganishwa na pesa aliyopewa lakini amejipanga kuhakikisha kuwa baadhi ya barabara zitajenga katika kiwango cha kufikika hasa katika kipindi cha Mvua ili kuweza kuwasaidia wananchi kufikia maazimio yao waliyojiwekea katika mikakati ya kujiletea maendeleo.

Aidha ameshauri katika kijiji cha mkuyuni ambapo kuna shida kubwa sana ya migogoro ya Ardhi, ameshauri kuwa ili kuweza kutatua migogoro hiyo, wamejipanga vyema kugawa Ardhi hiyo kisayansi kwani watagawa kwa makundi ya watu kuanzia ishirini huku Hati ya kumiliki Ardhi hiyo ikiwa moja tu ili kuepusha mipango ya kuuza ardhi hiyo inayofanywa na vijana ambao sio waaminifu na kuanzisha migogoro mbalimbali, kwani itawalazimu watu wote wanaomiliki eneo hilo kutia saini kwenye hati moja, ili eneo hilo liuzwe kitendo ambacho kitakuwa ni kigumu hivyo maeneo hayo yatabaki kuwa salama na wananchi wataendelea kurithishana kizazi na kizazi.

Nae Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano kaliwa amewalaumu baadhi ya viongozi wa maeneo ya vijiji vya Halmashauri hiyo kuwakaribisha baadhi ya wafugaji ambao mwisho wa siku ndio wanawasumbua sana wakulima, hivyo amesema kuwa atahakikisha uchunguzi unafanyika ili kubaini wale wote wanaowakaribisha watu hao na kuwachukulia hatua kali za kisheria ili kuepukana na matatizo hayo ambayo yanalalamikiwa sana kila mara. 

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa