• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mkuu wa mkoa wa Morogoro azindua mashindano ya UMISETA.

Posted on: May 29th, 2018

Pichani juu: Mkuu wa mkoa wa Morogoro mheshimiwa Kebwe Steven Kebwe akizungumza na wanafunzi wanaowakilisha wilaya mbalimbali za mkoa wa Morogoro katika uzinduzi wa mashindano ya UMISETA.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro mheshimiwa Kebwe Steven Kebwe mapema leo amezindua michezo mbalimbali kwa shule za sekondari kwenye uwanja wa shule ya sekondari Ifakara.

Katika salamu zake za uzinduzi huo mheshimiwa Kebwe aliwasisitiza wanafunzi kuhakikisha kuwa wanafanya sana mazoezi hata baada ya kumalizika kwa mashindano hayo kwani mazoezi husaidia kuibua vichocheo vya kuchangamsha ubongo na hivyo kuwafanya waweze kufanya vema katika masomo yao ya kila siku.

Aidha aliwataka wakurugenzi wote katika mkoa wa morogoro, wahakikishe kuwa wanayafuatilia maeneo yote yanayoonekana kuwa yamevamiwa il hali yakiwa ni maeneo ya shule husika, kuhakikisha kuwa maeneo hayo yanarudishwa kwenye shule husika hata kama mtu atakuwa tayari amekwishajenga ghorofa.

Katika hatua nyingine mheshimiwa Kebwe aliwasisitiza walimu wakuu na walimu wa michezo kuhakikisha kuwa wanasimamia kwa kuwanoa vijana hawa ili waweze kuzoea kufanya mazoezi haya na ikiwezekana michezo hii hapo mbeleni iweze kuwa ajira zao.

Pia aliwakumbusha watumishi wote kuhakikisha kuwa wanafanya michezo kwa kila siku ya jumamosi ya pili ya mwezi kwani itaweza kuwasaidia watumishi kujikinga na magonjwa ambayo siyo ya kuambukiza kama vile Kiharusi, kisukari, BP nk. Kama makamu wa Rais wa jamii ya muungano wa Tanzania alivyosema, na hii sio kwaajili ya kufuata tu maagizo ya serikali bali hata kuhakikisha kuwa wanapata afya na kupunguza athari mbalimbali za kiafya.

Mheshimiwa Kebwe pia  aliwakumbusha wanafunzi hao wasije kucheza kwa chuki, kwakuwa michezo ni ajira, ushirikiano na ni furaha pia hivyo haina haja ya kugombana na kukubaliana na matokeo kwani asiekubali kushindwa si mshindani.

Mwisho aliwasihi kamati ya uchaguzi kuchagua wanamichezo kwa kuzingatia ujuzi na uwezo wao kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo ili kuweza kupata timu itakayoweza kuwakilisha vizuri mkoa wa Morogoro.

Chini: Matukio mbalimbali ya uzinduzi huo yakiwa pichani.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 24, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa