• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

mkuu wa wilaya kilombero ataka watumishi wa halmashauri kilombero kuishi mngeta

Posted on: February 1st, 2020

pichani juu: mkuu wa wilaya ya Kilombero akiongea na madiwani katika baraza la mawaziri

 Mkuu wa Wilaya ya Kilombero James Ihunyo ametoa siku saba kwa watumishi wa Halmashauri ya Kilombero ambao bado     hawajahama  kutoka Ifakara kwenda Mngeta wafanye haraka lasivyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Ihunyo aliyasema hayo katika kikao cha baraza la madiwani Wa halmashauri ya Wilaya ya Kilombero baada ya madiwani kuhoji inakuwaje baadhi ya watumishi akiwemo  Mkurugenzi wake Mhandisi Stephano Kaliwa kuendelea kuishi Ifakara ili mradi kuagiza watumishi Wa chini yake kuhamia Mngeta.

Mkuu huyo Wa wilaya alisema kuendelea kubaki Ifakara ni kukaidi maagizo ya Rais kwani hivi sasa watumishi Wa halmashauri ya Wilaya ya Kilombero wanatakiwa kuishi Makao makuu mapya ya Mngeta ili kurahisisha kutoa huduma kwa wananchi. 

 Amesema maelekezo yake  yasipofanyiwa kazi ndani ya muda huo ataomba orodha ya Watumishi na kuwachukulia  hatua bila kumuigopa mtu kwani katika jambo hili hakuna aliye mkubwa juu ya sheria.

Awali Madiwani wa halmashauri hiyo akiwemo Yusta Ndumba (Viti Maalum Kata ya
Masagati) na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo David Ligazio
walielezea kutoridhishwa na matumizi mabovu ya fedha za Halmashauri kunakofanywa na baadhi ya watumishi kwa ajili ya manunuzi ya mafuta kwenye vyombo vya usafiri wakitokea Ifakara  kuja Mlimba pasipo kufuata Utaratibu.

Ndumba alisema anashangaa mkurugenzi na baadhi ya watumushi kila siku wanafanya safari za kutoka Ifakara kuja Mngeta na kurudi Ifakara ili mradi huku madiwani wakipunjwa posho zao na kuhoji mamlaka hayo wanayatoa wapi watumushi hao?.

Wamesema haiwezekani baada tu ya kuhamia Mngeta posho za madiwani zipunguzwe wakati walishajitengea bajeti yao na kuhoji au Fedha zao ndizo zinapelekwa katika mafuta ya kuja na kurudi Ifakara. 

Katika hatua nyingine Madiwani hao wamesema Mkurugenzi huyo amekuwa akiendesha Halmashauri pasipo kufuata utaratibu kwa kuwachukulia maamuzi ya kuwawajibisha watumishi kwa Kuwatishia kuwasimamisha kazi na kuwapa barua za onyo anapojisikia kufanya hivyo.

Kwa upande wake Mkaguzi Mkuu wa ndani Kutoka Ofisi ya Mkuu wa
 Mkoa wa Morogoro Steven Benedict akiwa katika kikao hicho
amesema ameshtushwa na hali hiyo ya malalamiko ya Madiwani juu ya kutokwenda vizuri kwa baadhi ya mambo hivyo katika hayo amewataka Madiwani kujenga ushirikiano kati yao pamoja na watendaji wa Halmashauri hiyo ili kwenda pamoja na kufanikisha shughuli za maendeleo kwa haraka.


Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA DEREVA NA MWENDESHA OFISI MLIMBA DC July 01, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa