• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mkuu wa wilaya ya Kilombero azindua chanjo ya Surua Lubera

Posted on: October 17th, 2019

Pichani juu Mkuu wa wilaya ya Kilombero Chief James Ihunyo akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na wanakijiji wa Mikochini alipokwenda kuzindua chanjo ya Surua Lubera

Mkuu wa wilaya ya Kilombero Chief James Ihunyo, mapema leo amezindua chanjo ya Surua Lubera katika eneo la kitongoji cha mikochini kata ya Namwawala.

Akizungumza katia uzinduzi huo Chief Ihunyo amewashukuru sana wananchi kwa kuweza kujitokeza kwa wingi kiasi kwamba ilionekana kuwa kunahitajika huduma za ziada kuweza kukidhi mahitaji ya wananchi hao.

aidha Ihunyo amesema kuwa kitongoji hicho kimepata upendeleo maalumu kwakuwa kimeonesha uhitaji mkubwa wa uhitaji wa chanjo kwani kuna watoto wengi sana na ni uhitaji wa serikali ni kuona wananchi wana afya njema kwaajili ya maendeleo ya Taifa hili, na kama ikitokea watoto wasipochanjwa basi kuna madhara makubwa ya kupooza pamoja na Surua kitu ambacho kinarudisha nyuma sana maendeleo ya Taifa hili.

Katika hatua nyingine Ihunyo amemshukuru sana Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli kwa kuweza kusaidia upatikanaji wa dawa katika Wilaya hiyo kwani kwa sasa, hakuna kabisa tatizo la dawa katika eneo la wilaya yake kwani kila kituo cha Afya na hospitali zote kwa sasa kuna dawa za kutosha hivyo, amewashauri wananchi kwenda katika vituo hivyo kuimarisha Afya zao pindi wanapopata matatizo yoyote yale.

Nae mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Dokta Christina Guveti amewaasa wananchi kuwaleta watoto wao katika chanjo hiyo kwani haina madhara yoyote yale kiafya kwa mwanadamu, na hata kama ikitokea mtoto alipata chanjo mwezi uliopita sio mbaya akarejea tena kupata chanjo hiyo, kwani lengo la Taifa ni kuhakikisha kuwa watoto hao wanapata chanjo hiyo na wanakingwa na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo ikiwemo Surua, Lubela na Polio.

Dokta Guveti aliendelea kusema kuwa mtoto asipopata Chanjo ya Polio anaweza akapata ulemavu wa mwili hata upofu wa kudumu maisha yake yote, kitendo kitakachompa mzazi mzigo mkubwa wa kumlea mtoto huyo kwa kipindi hicho chote cha maisha ya mtoto huyo.


Chini ni Habari Picha










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFYA AZURU MLIMBA DC

    November 19, 2025
  • MWANZO WA SAFARI YA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA KATI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YANZANZIBAR NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA

    October 23, 2025
  • TAARIFA YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WALOFANYA MTIHANI WA TAIFA 2025 MLIMBA DC

    October 23, 2025
  • MKURUGENZI MLIMBADC AFANYA MAZUNGUMZO NA TIMU YA MKOA YA USIMAMIZI WA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

    October 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa