• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mradi wa Birika la kunywea maji mifugo wakamilika Sagamaganga

Posted on: November 19th, 2018

Pichani Juu: Ngombe mbalimbali wakipata maji kupitia Birika la kunywea maji huko Sagamaganga

Afisa mifugo wa Halmashauri ya wilaya Kilombero Daktari Anette Kitambi, ameeleza kuwa wamekamilisha ujenzi wa birika la kunywea mifugo maji katika mnada wa Sagamaganga uliopo wilayani humo, ambao ukiwa ni moja ya mradi kati ya miundombinu iliyojengwa kwenye mnada huo mwaka 2016.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii mapema leo asubuhi, Daktari Kitambi amesema kuwa, wamejitahidi kulifanikisha hilo ili waweze kuliboresha eneo hilo la mnada, pamoja nakutengeneza mazingira mazuri ya kiusalama kwa mifugo, ili kuondokana na adha  ya magonjwa yatokanayo na kuwepo kwa hali mbaya ya mazingira, ambayo si salama kwa mifugo pamoja na  wakazi waliopo karibu na eneo hilo la mnada.

Aidha Daktari Kitambi amesema kuwa, ili kulifanikisha jambo hilo,  Halmashauri imeweza kutoa kiasi cha shilingi Milioni Thelathini (30,000,000) ili kuweza kukamilisha mradi huo ambao ulikuwa unahitajika kwa kiasi kikubwa na wananchi wa Sagamaganga na wote wanaozunguka eneo hilo ambao wanajishughulisha na shughuli za ufugaji.

“Sisi kama Halmashauri tumetoa shilingi Milioni  Thelathini (30,000,000 ) ili tuweze kuukamilisha mradi ambao tumekusudia kuujenga,” amesema Daktari Kitambi.

Hata hivyo amewapongeza wananchi kwa kuonesha ushirikiano wa hali ya juu katika kuukamilisha mradi huo kwa kuchangia baadhi ya michango ikiwemo kutoa tofali zote za ujenzi, kuchimba shimo la choo, kuchimba mtaro wa bomba la maji kutoka kwenye vyanzo vyake ‘Resourse Center’ na kuchota maji ya kuendeshea shuguli zote za ujenzi pamoja na nyingine ndogondogo.

Sanjari na kuwepo kwa mradi huo wa Birika la kunywea mifugo maji, miradi mingine iliyopo katika eneo lile ni pampoja na Choo, kituo cha majiambacho kimetegemea zaidi mnara wa kuweka vihifadhia maji ‘simtank’ ambavyo tayari vihifadhia maji hivyo vipo, pamoja na pandishio.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa