• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mradi wa Furaha yangu Wafanikiwa sana

Posted on: November 5th, 2018

Pichani juu: mmoja wa wananchi waliojitokeza kwenye huduma hizo za kupima afya na kupata tohara akipata huduma hiyo

Mradi wa furaha yangu uliozinduliwa na mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt Kebwe Steven Kebwe umezinduliwa mapema mwishoni mwa wiki hii katika kata ya Kiberege kwenye shule ya msingi Kiberege.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Mkuu wa wilaya ya Kilombero ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi kwenye mradi huo, ndugu James Ihunyo amesema kuwa, kuna umuhimu mkubwa sana kwa wananchi wa kidatu na sehemu nyingine kwenye wilaya ya Kilombero kuweza kujua afya zao kwani kujua afya yako kutaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi juu ya maisha yako.

Ndg Ihunyo alisisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kuweza kupata huduma hiyo ya uchunguzi wa matatizo mbalimbali kwaajili ya afya zao bure kabisa, kwani baada ya kupita huduma huyo hapo, hospitali nyingine hutoza pesa kiasi kadhaa, kwaajili ya kupata huduma hizo hivy amewasihi wananchi kuchangamkia furasa hiyo.

Awali Mganga mkuu wa wilaya ya Kilombero Dkt Samwel Lema alitanabaisha kuwa huduma zinazotolewa kuwa ni Upimaji wa VVU, uchangiaji wa Damu salama, elimu ya Lishe, upimaji wa BP uzito na urefu, Huduma za CTC na GBV, tohara kinga kwa wanaume pamoja na uchunguzi wa awali wa Kifua kikuu pamoja na magonjwa mengine ya ngono.

Nae mwananchi Julius Mangasini amesema kuwa, wamefurahishwa sana na uamuzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, kuamua kutoa huduma hizo katika kata yao ya kiberege kwani wamekuwa wakizisubiria huduma hizo kwa muda mrefu sana bila mafanikio yoyote, hivyo kuja kwa mradi huo katika eneo lao ni ukombozi mkubwa sana kwa jamii zao.

Kwa upande mwingine, shughuli hiyo ilifanikiwa sana, kwani watu wengi sana wamejitokeza kuhakikisha kuwa wanapata huduma mbalimbali kwa kadri itakavyowezekana.

Hapa chi ni Habari picha kuonyesha namna shughuli hiyo ilivyofanyika katika kata ya Kiberege siku ya Jumamosi tarehe 3/11/2018


Mganga mkuu a wilaya ya Kilombero, Dkt Samwel Lema akizungumza na wananchi waliojitokeza.


Baadhi ya wanachi wa kata ya Kiberege wakimsikiliza mgeni rasmi James Ihunyo.




Mgeni rasmi James Ihunyo akizungumza na wananchi wa kata ya Kiberege kwenye shughuli hiyo.




Shughuli za upataji huduma za Afya zinaendelea.


Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA December 16, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA OC KWA MWEZI JANUARY TSH. 189,174.000/=

    February 07, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE KUCHUKULIWA HATUA

    January 23, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa