• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mradi wa umwagiliaji maji Kilombero bado mita 24 tu kukamilika

Posted on: November 21st, 2018

Pichani juu: Injini wa umwagiliaji Injinia Romanus Myeye akiendelea na ukaguzi wa mradi wa umwagiliaji Kilombero

Afisa kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya  Kilombero Injinia Romanusi  Myeye, amesema kuwa wamekamilisha uletaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vitendea kazi vinavyohitajika katika ujenji wa mradi mpya wa pili wa mifereji ya umwagiliaji, ili kuweza kuukamilisha mradi wa ujenzi wa mfereji huo kwa ajili ya kupitishia maji huko mashambani.

Mradi huo ukiwa ni miongoni mwa miradi miwili  ya umwagiliaji maji wa mita mia mbili na mita mia tatu na themanini, ambayo Halmashauri ilikusudia kuitekeleza kwa jamii ili kuweza kurahisisha kilimo cha umwagiliaji kwa wakulima wilayani humo, umebakiza mita chache tu ili kuweza kutumika na wakulima hao katika shughuli zao za kila siku za kilimo.

Akizungumza na muandishi wa habari hii mapema leo hii asubuhi ofisini kwake, Injinia Myeye amesema kuwa, kazi ya ujenzi wa mfereji wa umwagiliaji maji wa mita mia tatu na themanini pamoja na kichepusha maji kimoja, unaendelea vizuri na umeshajengwa kwa sehemu kubwa isipokuwa bado mita ishirini na nne tu kukamilika.

Aidha Miyeye ameongeza kuwa, amejitahidi kuisimamia na kuifanya kazi hiyo kwa uhakika na ujuzi alionao, ili kuufanya mifereji uwe na muanguko mzuri  unaotakiwa kitaalam kwa lengo la kurahisisha maji yaweze kutembea kiustadi kuelekea mashambani, kwaajili ya umwagiliaji huo.

“Nimejitahidi kuifanya kazi hii kwa uhakika na ujuzi wangu wote, ili kuhakikisha mfereji huo unaweza  kupitisha maji kwa urahisi na kwa ustadi kuelekea mashambani kwaajili ya umwagiliaji,” amesema Injinia Myeye.

Awali Mkandarasi aliuchimba mfereji ambao haukuwa sahihi kitaalam kama ilivyotakiwa, kwa kuwa ulichimbwa kwa kwenda chini kupita urefu wa mashamba ambayo yanahitajika kumwagiliwa kwa kutumia mfereji huo, hivyo kupelekea kuvunjwa na kujengwa tena upya chini ya Afisa kilimo huyo Romanusi Myeye.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 24, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA KAMATI YA SHEREHE WILAYA

    May 23, 2023
  • FEDHA ZA OC KWA MWEZI FEBRUARI 2023 TSH. 35,294,000

    March 16, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA OC KWA MWEZI JANUARY TSH. 189,174.000/=

    February 07, 2023
  • MHE. DUNSTAN KYOBYA MKUU WA WILAYA YA KILOMBERO ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI NAKAGURU

    February 02, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa