• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Mtaalamu wa miwa kuletwa kilombero, atasimamia ubora wa miwa

Posted on: January 12th, 2019

KILIO cha wakulima wa miwa wa nje  katika maeneo mbalimbali nchini ni kuomba walipwe bei ya tani ya miwa kama wanavyolipwa wakulima Wa miwa wa Kilombero.

Hayo yamesemwa na Naibu waziri Wa Kilimo na ushirika Omary Mgumba wakati akitoa taarifa ya wakulima wengine wakati Wa mkutano na wakulima wa wa miwa nje Wa Bonde la Kilombero.

Mgumba amesema kabla ya kuwatembelea wakulima Wa miwa Wa Kilombero aliwatembelea wakulima Wa miwa Wa Mtibwa na Mkurazi na katika kilio chao alisema wakulima hao waliomba walipwe bei kama wanayolipwa wakulima Wa Kilombero.

Naibu waziri huyo aliwapongeza wakulima wa miwa Wa Kilombero kwa kushirikiana na kiwanda kwa kuwa na bei nzuri ya tani ya miwa na kusema kuwa, bei nzuri ya miwa ndio faida kwamkulima kwani itamuinua yeye kiuchumi pia kukuza pato la taifa.

Alisema kwa sasa serikaliinatambua kwamba ukitaja zao la miwa macho yao yote yapo mkoani Morogoro hasawakulima Wa Kilombero na ndio maana viwanda viwili vya K1 na K2 vinadhamira yakuongeza ukubwa wa uzalishaji toka tani laki 120 000 na kufikia tani 250 000.

Naibu waziri huyo alisema katika kuendelea kumnufaisha mkulima Wa nje Wa miwa katika Bonde la Kilombero amemuagiza mkurugenzi Wa bodi ya sukari kumleta mtaalamu ili kusimamia uzito na utamu Wa sukari ambapo atashirikiana na mtu mwingine atakaechaguliwa na wakulima wenyewe lengo ni kushirikiana na kiwanda katika kuinua sekta hiyomuhimu.

Alisema baada ya kuhakikishiwa soko na mnunuzi hivi sasa kazi imebaki kwa mkulima kuzalisha kwa tija kwa kufuata kanuni bora za Kilimo ili kuongeza thamani ya zao hilo.

Kuhusu suala la riba kubwa katika mabenki, naibu waziri huyo alisema wakulima wanakopa katika benki za kibiashara na ndo maana serikali ikawaanzishia benki ya Maendeleo yakilimo (ADB) ambapo ni benki maalum ya wakulima na pia wanashirikiana na benki za posta na NMB ambazo serikali ina hisa huku pia akisisitiza watumie benki ya TIB ambayo ina riba ndogo.

Amewataka wananchi katika bonde hilo kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya miwa na mpunga kwani taifa linawategemea  na pia walime mazao ya muda mrefu kwani licha ya kipato pia watapata Fedha za kigeni na kuyataja mazao hayo kama korosho, kokoa, parachichina michikichi.

Kiwanda cha sukari Kilombero ndicho kinalipa bei nzuri ya miwa katika ukanda wote Wa Afrika na tani moja kwasasa inauzwa shilingi 101,000.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa