• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Naibu waziri TAMISEMI akutana na wafanyakazi wilaya ya Kilombero

Posted on: August 21st, 2019

Pichani juu: Naibu waziri wa TAMISEMI Mh. Mwita Waitara akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero 

Naibu waziri wa Tamisemi Mh. Mwita Waitara, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, kwa kutenga fedha kwaajili ya kukamilisha miradi mbalimbali, baada ya kuona moja ya mradi ambao ni shule, umekamilika vizuri kwa upande wa vyoo, madarasa pamoja na jengo jipya la Halmashauri namna linavyoendelea vizuri.

Mh. Waitara ametoa pongezi hizo jana, katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, alipokuwa kwenye ziara yake katika Halmashauri hiyo, ambapo watu wengi walihudhuria wakiwemo viongozi wa serikali za mitaa, walimu wakuu, wakuu wa idara pamioja na Mkurugenzi mtendaji na Mkuu wa Wilalaya hiyo.

Aidha Naibu waziri huyo amesema kuwa, licha ya kuwa na mafanikio hayo ndani ya Halmashauri hiyo, lakini pia zipo changamoto kwa baadhi ya shule kukosa walimu wa masomo ya hesabati na fizikia, hivyo kuwataka wahusika walioko katika sekta ya elimu, kulifanyia kazi jambo hilo haraka iwezekanavyo.

kwa upande mwingine Ndg Waitara amewataka wakuu wote wa idara wa masuala ya elimu, kuacha kukaa maofisini tu, na badala yake waende mashuleni kuangalia maendeleo na changamoto wanazokutana nazo wanafunzi, huku akiwakumbusha kuwa, Mkuu wa wilaya ana haki zote za kujua taarifa zote za miradi na maendeleo kwa ujumla, hivyo kuwataka Mkurugenzi na Mkuu wa wilaya kushirikiana kwa kiasi kikubwa.

Vilevile Mheshimiwa Waitara amewataka watumishi wote wa uma kuwa na nidhamu ya kazi, waachane na tabia ya kujivuna, matumizi mabaya ya pesa za serikali na kujisifu kwenye kazi , hivyo kila mtu afanye kazi kwa nafasi yake na kwa kushirikiana, waache kufanya kazi kwa mazoea ili waweze kufika mbali zaidi kimaendeleo.

Hata hivyo Naibu waziri huyo amempongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli, kwa kuwa mfano bora katika kuleta maendeleo katika Nchi, kwani ameweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa barabara, reli, ununuzi wa ndege na mengine mengi, hivyo kuwataka wananchi wote kuheshimu chama tawala kama mfano bora kwani kinawatoa watu wanaoleta maendeleo katika Nchi.

Sanjari na hayo Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mh. James Ihunyo, amemshukuru Naibu Waziri huyo, kwa hotuba yake nzuri na kuahidi kuendelea kuyafanyia kazi yote aliyoyazungumza, ili kuleta maendeleo katika Nchi, kama katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inavyotaka.

“Ninakushukuru sana Mheshimiwa Naibu Waziri kwa hotuba yako nzuri, kwani umeongea mambo mengi mazuri na nakuahidi kuyafanyia kazi yote uliyozungumza, ili kuweza kuleta maendeleo makubwa katika Wilaya yangu, amesema Mheshimiwa Ihunyo na kuwataka watu wote waliohudhuria kikao hicho, kuonesha ushirikiano katika kipindi cha uchaguzi wa Serikali za mitaa unaokuja.


Habari Picha: Baddhi ya matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye mkutano huo.




Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa