• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

RC SHIGELLA aipongeza Mlimba.

Posted on: June 12th, 2021

Pichani juu: mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Martine Shigela akisisitiza jambo wakati akiongea na madiwani, watumishi na wananchi katika kikao cha baraza maalum la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Martine Shigella mwishoni mwa wiki hii katikabaraza maalumu la kujadili ripoti ya mkaguzi mkuu, ameipongeza Halmashauri yawilaya ya Mlimba kutokana na umakini mkubwa kwenye matumizi ya fedha zakekatika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Katika hotuba yake hiyoamesema kuwa amefurahishwa sana na namna ambavyo Halmashauri hiyoinashughulikia suala hilo lakini pia akashauri kuwa ni vema sasa wakahakikishawanajenga miradi hiyo kwa kutumia fedha za mapato ya ndani tu na si kutegemeawafadhili, wananchi au pesa kutoka serikali kuu, kwani itapendeza sana sikumoja Halmashauri ikisimama na kusema kuwa imefanikiwa kujenga mradi Fulani kwakutumia fedha za ndani kwa 100%, na si kuchanganya pesa za mapato ya ndani, CSRwala mchango wowote kutoka kwa wananchi na kama wakiweza kufanya hivyo basiHalmashauri itakuwa ni ya mfano katika Halmashauri zote katika mkoa huu waMorogoro.

Aidha katika hatua nyingine Mh. Shigella amesisitiza kuwa miradiitakayojengwa hapa iwe ni ile ya kuwasaidia wananchi, mfano kujenga magodauniyatakayosaidia kuhifadhi mpunga wa wananchi n ahata ikitokea kuna mkwamo waaina yoyote ilebasi serikali ipo tayari kuwasaidia ili kuhakikisha kuwa mamboyanakwenda sawa.

Nae mwenyekiti wa Halmashauri hiyo mhe. Innocent Mwangasa amesema kuwamaagizo yote waliyopewa na mkuu wa mkoa wameyapokea na watayafanyia kazi nasiku si nyingi, kikubwa ni ushirikiano tu ambao amesisitiza kuwa utakuwepo ilikuweza kufanikisha shughuli hii.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimbamhandisi Stephano Kaliwa amesema kuwa ameyapokea maagizo hayo na walikuwa wapokwenye mchakato wa kulifikiria hili hivyo mkuu wa mkoa amekuja kukazia na hivyowatajitahidi kwa kila hali kuhakikisha kuwa agizo hilo linapewa nafasi yamwanzo ili kuweza kuwapa wananchi huduma wanazostahili katika wakati sahihi.

Habari picha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 24, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA IMEPOKEA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) KWA MWEZI NOVEMBA 2022 TSHS 35,294,000/= December 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAADHIMISHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

    August 07, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA KUTOKA HAZINA (OC) TSH. 235,360,000.00

    August 02, 2023
  • Angalia zote

Video

MHE. WAKILI DUNSTANI KYOBYA AHAIDI TSH. 500,000.00/= KWA KILA MWANAFUNZI ATAKAYEPATA DIVISHENI 1.7.
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa