• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

SHIRIKA LA PLAN IFAKARA LASAIDIA VIFAA VYA KUBORESHA AFYA HALMASHAURI KILOMBERO VYA SHILINGI MILIONI 31.4

Posted on: February 8th, 2018

SHIRIKA la Plan InternationalIfakara limetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 31,400,000 kwa ajiliya kuboresha sekta ya Afya katika halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.

Makabidhianohayo yamefanyika juzi katika ofisi ya halmashauri hiyo toka kwa Meneja Wa PlanInternational Ifakara Majani Rwambali kwenda kwa mkurugenzi Mtendaji Wahalmashauri hiyo Dennis Londo.

Akikabidhivifaa hivyo Rwambali amesema wao kama shirika wameanza kushirikiana nahalmashauri hiyo katika kutekeleza mradi Wa Huduma zinazotolewa nje ya Kituocha tiba(Mkoba) toka mwaka 2016 na mojawapo  ni kusaidia vifaa katikavituo vya tiba 48 katika halmashauri hiyo.

Rwambalialitaja vifaa vilivyotolewa kuwa ni pamoja na Microscopes 5,mizani ya kupimiawatu wazima 48,mizani ya kupimia watoto 48,mashine za kupimia BP 48 naStethoscopes 48 vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 31.4.

Menejahuyo Wa Plan amesema kuwa misaada hiyo licha ya kupitia kwao imetolewa kwaufadhili Wa shirika LA Daiichi-Sankyo toka nchini Japan na kusema kuwa shirikalao litaendelea kuisaidia halmashauri hiyo kwa kufika katika vituo hivyo 48kila mwezi.

Kwaupande wake mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri hiyo Dennis Londo aliwashukuruPlan na Daiichi- Sankyo kwa msaada huo ambao kimsingi wanaendelea kuonyeshawapo sambamba na halmashauri katika ushirikiano Wa mambo mbalimbali.

Londoamesema vifaa vilivyotolewa sio haba hasa kwa halmashauri ambazo zinarasilimali chache na majukumu mengi na anaamini uwepo Wa vifaa hivyoutarahisisha hali ya utendaji Wa watumishi wao katika vituo vya Afya nazahanati zote hasa zilizopo katika mradi.

Mkurugenzihuyo amesema anaamini vifaa hivyo vitaboresha Afya za watu hasa Afya ya mamawajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano na amewahakikishia wafadhilihao kwamba vifaa hivyo vitatumika kwa kadri ya malengo ya mradi huo katikakuboresha Afya za wananchi.

Naemganga mkuu Wa halmashauri hiyo Dk Samwel Lema alisema licha ya kuwasaidia kwakuwapatia vifaa hivyo pia shirika hilo mwaka jana waliwapatia gari ambayoimesaidia katika kuboresha huduma za chanjo kwa mama na watoto kwani awalikiwango cha chanjo kilikuwa chini ya asilimia 70 lakini sasa huduma ipo kwaasilimia 90.

Hatahivyo Mratibu Wa huduma za chanjo katika halmashauri hiyo Nendaeli Malugualisema baada ya kupatikana kwa vifaa hivyo ana imani kila Kituo kitakuwa nakifaa cha vipimo kwa akinamama wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitanona vifaa vitapelekwa katika kanda zote tatu za mradi ambazo ni Mang'ula,Mngetana Mlimba.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa