• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

UMITASHUMTA yazinduliwa kilosa, mlimba washiriki.

Posted on: June 30th, 2021

Mashindano ya michezo kwa shule za msingi kwa mkoa wa Morogoro, yamezinduliwa jana huko Kilosa ambapo Halmashauri ya wilaya ya Mlimba imeshiriki kikamilifu kwenye michezo hiyo.

Akizungumza katika uzinduzi huo ambao pia umeshuhudiwa na Mkurugezi wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Eng. Stephano Kaliwa, Afisa elimu Msingi Bi Witness Kimoleta amesema kuwa timu zote zimejiandaa vya kutosha zipo tayari kushiriki kwenye michezo yote ambayo watapangiwa mbali na ile ambayo tayari imekwishachezwa, ambapo amesema kuwa ingawa kuna baadhi ya michezo wamepoteza ushindi lakini hawatokata tamaa, watajipanga upya na kufikia kwenye malengo waliyojiwekea.

Nae afisa vijana ambae pia ndio kocha wa michezo hiyo bwana Nicholaus Makata amesema kuwa mpaka sasa wamekwishacheza michezo mitano ambayo ni Mpira wa miguu wavulana na wasichana, mpira wa mikono, Netball, Mpira wa wavu, Pamoja na Riadha ambapo mpaka sasa wamepoteza michezo mitatu tu huku wakishika nafasi ya kwanza kwenye Riadha Pamoja na mpira wa miguu upande wa wanaume wameifunga malinyi mabao matatu kwa mawili huku wasichana wakitoka suluhu ya bila kufungana na Malinyi.

Nae mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa katika mazungumzo yake na wanafunzi wa Halmashauri yake, amesema kuwa, michezo ni muhimu sana kwa kuimarisha afya ya masomo hivyo amewataka wanafunzi kuhakikisha kuwa Pamoja na masomo yao lakini pia wanatilia mkazo suala zima la michezo ili kuweza kufanikiwa katika vyote, aliongeza kuwa Halmashauri imeweza kuwasaidia kutoa kila wanachokihitaji ilimradi tu wahakikishe kuwa wanarudi nyumbani na ushindi ili iwe Fahari kwao na kwa Halmashauri yao kwa ujumla.

‘’Unajua vijana wangu michezo ni muhimu sana kwa kuimarisha Afya ya masomo yenu, hivyo ninawasihi mhakikishe kuwa mnatilia mkazo sana masomo yenu bila kusahau michezo ili muweze kufanikiwa katika vyote hivyo, Halmashauri yetu imeweza kutoa kila mtakachohitaji katika michezo hii, ilimradi tu muweze kufanya vizuri na kurudi na ushindi nyumbani, ili iwe Fahari kwenu na kwa Halmashauri kwa ujumla’’. Alimaliza Mhandisi Kaliwa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025 July 03, 2025
  • TANGAZO LA KUTEULIWA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA MWAKA 2025 November 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFYA AZURU MLIMBA DC

    November 19, 2025
  • MWANZO WA SAFARI YA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA KATI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YANZANZIBAR NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA

    October 23, 2025
  • TAARIFA YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WALOFANYA MTIHANI WA TAIFA 2025 MLIMBA DC

    October 23, 2025
  • MKURUGENZI MLIMBADC AFANYA MAZUNGUMZO NA TIMU YA MKOA YA USIMAMIZI WA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

    October 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa