• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Uzinduzi wa Chanjo ya mlango wa shingo ya kizazi yafanikiwa.

Posted on: April 27th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Kilombero ndugu James Ihunyo, akizungumza na wanakijiji wa mang'ula kwenye uzinduzi huo.

Mkuu wa wilaya ya kilombero Ndg James Ihunyo, jana alifanikiwa kufanya uzinduzi wa chanjo ya mlango wa shingo ya kizazi kwa watoto wenye umri wa miaka 14.Kuzinduliwa kwa chanjo hiyo kunafungua mlango kwa watoto wote wenye umri huo kupata chanjo hiyo kwenye wilaya ya Kilombero.

Akitoa rai yake Mhe. Ihunyo alisisitiza kuwa wananchi wa wilaya ya kilombero wanapaswa kuwa makini sana na maneno yanayosemwa mtaani kuwa dawa hizi zina madhara makubwa mbeleni kuwa watu hao ni waongo na hawawatakii mema, dawa hizi hazina madhara yoyote yale kiafya zaidi ya kujikinga na ugonjwa huu ambao ni hatari sana kwa wanawake na watoto, hivyo alishauri kuwa wananchi waupokee mradi huu kwa mikono miwili ili waweze kujikinga na ugonjwa huu.

Awali akitoa ripoti ya chanjo hiyo, mratibu wa Afya wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, bi Niindaeli Malugu alisema kuwa ugonjwa huu umekuwa ni tishio kubwa sana hususan kwa mabinti wadogo kuanzia miaka 14 kutokana na ukweli kwamba mabinti wengi huanza mapenzi wakiwa na umri mdogo sana, hivyo kupelekea kuathirika kwa kiwango kikubwa sana kwa wasichana hao.

Aidha akielekeza sababu nyingine za ugonjwa huo, bi Malugu alisema kuwa, kuwa na wanaume wengi na hata kuwa na watoto wengi ni sababu nyingine ya kupata saratani hiyo kwa mujibu wa wataalamu.

Nae mwakilishi kutoka wizara ya Afya bi Lotalis Gadau, alisema kuwa kutibiwa saratani ya shingo ya kizazi gharama yake ni milioni tano na laki tano, ambayo ni gharama kubwa sana hivyo aliwasihi sana wanakijiji wa mang’ula na maeneo yote ya wilaya ya Kilombero kupata chanjo hii mapema kabla tatizo halijakuwa kubwa kwani chanjo ni bora kuliko tiba.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa