• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Wachuuzi wa Samaki wasio na leseni wakamatwa Mlimba

Posted on: August 6th, 2020

Pichani juu: Gari ya Halmashauri ya wilaya ya Mlimba ikiwa imebeba Matumba hayo ya samaki ambayo yamekamatwa mapema jana jioni.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa amesema kuwa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero mapema Jana imekamata matumba ya samaki yapatayo matano (5) pamoja na baiskeli mali ya wachuuzi wa maeneo ya Mofu, katika shughuli za kawaida kabisa za doria katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri hiyo.

Akizungumza kwa uchungu kabisa Mhandisi Kaliwa amesema kuwa mitumba hayo ya samaki yangeweza kuipatia Halmashauri kiasi kadhaa cha pesa ambazo zingesaidia kufanya maendeleo kwa wananchi wenyewe.

Aidha Mhandisi Kaliwa amesema kuwa Matumba hayo ya samaki yamekamatwa kwa wachuuzi hao ambao walikuwa katika harakati za kujaribu kuyatorosha kwa njia za magendo pasipo kufata utaratibu uliowekwa na serikali wa kulipa kodi pamoja na kukata Leseni za biashara hiyo.

Akiongea Zaidi Mhandisi kaliwa amesema kuwa wapo watu wengi sana ambao huamua kufanya biashara za magendo hivyo hawa waliokamatwa wwatakata Leseni, pamoja na kulipa faini kali ili iwe fundisho kwa wengine, amesema kuwa lengo si kuwalipisha faini bali ni kuwakumbusha watu wafate utaratibu katika kufanya biashara zao ili kuepuka usumbufu wa kukamatiwa mali zao na hatimae kuua mitaji yao ya biashara, kwani wengine wanategemewa kurejesha mikopo waliyochukua kwaajili ya biashara hizo.

‘’Wapo watu wengi sana ambao kwa makusudi kabisa, huamua kufanya biashara za magendo, hivyo kwa hawa waliokamatwa watakata leseni na kulipa faini kali ili iwe fundisho kwa wengine, ingawa ieleweke wazi kuwa lengo si watu kulipishwa faini na Halmashauri yetu, bali ni kukumbushwa kuwa wanatakiwa kufanya biashara zao kwa kufuata utaratibu kuepukana na kukamatiwa biashara zao na kisha kuua mitaji yao ya biashara kwani wengine wamekopa pesa na wanategemewa kurejesha mikopo hiyo’’ Alisema Mhandisi Kaliwa.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa