• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Waliouza eneo la pori Tengefu la Kilombero kukiona

Posted on: December 18th, 2018

Pichani juu: mkuu wa wilaya ya Kilombero ndg James Ihunyo akiongea na wananchi wa mngeta juu ya 

MKUU Wa Wilaya ya Kilombero James Ihunyo amesema kuwa viongozi wote waliohusika kuwauzia wananchi Mashamba katika eneo la Pori tengefu la Kilombero  wilayani humo watafunguliwa mashtaka.

Kauli hiyo ameitoa Jana katika kata ya Mngeta wakati akizungumza na viongozi Wa vijiji,vyama vya siasa na wananchi katika ziara yake ya kuzungukia na kuhimiza shughuli za Maendeleo katika Wilaya hiyo.

Ihunyo amesema kwa sasa tatizo kubwa lililopo wilayani humo ni ardhi na hiyo inatokana baada ya serikali kuamua kupima mipaka ya vijiji vilivyotengana na pori tengefu na kubainika kuwa wananchi wengi waliovamia maeneo hayo waliuziwa na baadhi ya viongozi.

"Changamoto kubwa hivi sasa kilio cha ardhi baada ya serikali kupima maeneo yenu,tunafahamu wengi wenu mlivamia maeneo hayo lakini kuna wengine waliuziwa maeneo hayo na baadhi ya viongozi wenu,"alisema Ihunyo.

Amebainisha kuwa kwa sasa serikali baada ya kupima vijiji vilivyopo Jirani na pori tengefu wamebaini baadhi ya viongozi waliopo madarakani ama waliostaafu wameleta usumbufu baina ya serikali na wananchi kwa kuuza maeneo yasiyoruhusiwa hivyo serikali haitafumbia macho suala hilo.

Amesema viongozi Wa namna hiyo ni matapeli kwani wanaelewa eneo hilo ni mali ya serikali  hivyo kuwataka viongozi waliopo madarakani kufuata taratibu na Sheria lasivyo mkono Wa Sheria utahusika upande wao.

Hata hivyo Mkuu huyo Wa Wilaya amesema katika utafiti uliofanyika hivyo karibuni umebaini kaya 248 katika vijiji vitatu katika tarafa ya Mngeta zimeathirika baada ya kuonekana zinaishi katika eneo chepechepe kwa miaka mingi na serikali zitawatafutia maeneo mengine ya makazi.

Amesema kaya 219 zipo kijiji cha Igia,kaya 18 zipo kijiji cha Isago na kaya 11 zipo kijiji cha Luvilikila na wahusika walijenga makazi ya kudumu katika maeneo hayo na zoezi la kutafuta wahusika wengine likiendelea.

Kuhusu baadhi ya wakulima wakubwa ambao wapo nje ya Wilaya wanamiliki maeneo makubwa ya ardhi na kutoyaendeleza,Ihunyo alisema serikali ipo katika hatua za mwisho za kubaini suala hilo na ikibaini hawayaendelezi na hawakupata kihalali serikali haitosita kuyapora na kuyarudisha kwa wananchi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JAMARY AWAPOKEA MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    June 10, 2025
  • MHE. WAZIRI WA MAMBO YA NJE KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MLIMBA DC

    June 04, 2025
  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa