• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Wanakijiji wa Idete waelimishwa juu ya utaratibu wa kulipia mazao

Posted on: June 6th, 2018

Pichani juu: Wananchi wa Idete wakizungumza na mkuu wa wilaya ya kilombero ndg Jmes Ihunyo.

SERIKALI wilayani Kilombero imetoa tahadhari kwa wananchi kuacha kurubuniwa na wafanyabiashara ili kusafirisha mazao yao na kukwepa kulipa ushuru kwa madai ya kutekeleza agizo LA Rais la kutolipia ushuru Wa mazao.

Akizungumza na wananchi Wa kata ya Idete wilayani humo mapema jana,Mkuu Wa Wilaya ya Kilombero James Ihunyo amesema agizo LA Rais Magufuli ni kutaka wakulima wenye mazao yasiyozidi tani moja kupita bure katika vizuizi na kutolipia ushuru na sio kuzudisha mzigo na pia kusafirisha mazao ya wafanyabiashara.

Wakati akiwa katika ziara wilayani Kilombero hivi karibuni,Rais Magufuli alirudia agizo kuwa ni marufuku kwa wakulima kutozwa ushuru kwa mazao yasiyozidi tani moja na kiongozi yeyote atakaekaidi agizo hilo atachukuliwa hatua ikiwezekana kutuliwa kazi.

Hata hivyo kumekuwepo na tuhuma za baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na wakulima kusafirisha mazao hayo na kudai kuwa mazao ya wakulima na njia hiyo upelekea kuzikosesha halmashauri Fedha za ushuru.

Ihunyo alisema ni marufuku wakulima kushirikiana na wafanyabiashara hao kusafirisha mazao hayo na punde ikibainika wahusika wote watachukuliwa hatua ikiwemo kupigwa faini na kusisitiza kuwa mkulima hatolipia mzigo Wa chini ya tani moja na mazao yakiwa ya kwake tu.

Amebainisha kuwa zaidi ya tani moja mkulima lazima alipie ushuru ili kuipatia halmashauri Fedha za kuwaletea wananchi shughuli mbalimbali za Maendeleo.

Amesema kwa halmashauri ya Wilaya ya Kilombero ilijiwekea utaratibu Wa kutambua wakulima wake kwa kuwapa vibali maalum baada ya mavuno na njia hiyo usaidia kusafirisha mazao yao bila usumbufu ila kuna baadhi ya wajanja utumia mbinu mbadala kwa kusafirisha mazao na kukwepa ushuru.

Aidha Mkuu huyo Wa wilaya amewataka watendaji kushirikiana na wananchi katika kuwatambua na kuwabana wafanyabiashara walanguzi wanaokuja na ndoo kubwa katika kununua mpunga huko mashambani na kusema njia hiyo ni kumnyonya mkulima.

Kwa sasa baadhi ya maeneo baada ya kubaini wakulima wanavuna mpunga baadhi ya walanguzi wameingia mashambani na kuwarubuni wakulima na kununua mpunga mashambani kwa kutumia ndoo zilizopigwa marufuku wakati vipimo vinavyotambulika na serikali ni mizani.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Igima wafikia hatua nzuri.

    June 07, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa