• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Watoto 44500 kupata chanjo ya surua Rubela Kilombero

Posted on: October 11th, 2019

Pichani juu: Mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero Dr. Christina Guveti, akizungumza jambo na wananchi kusisitiza chanjo hiyo.

JUMLA ya watoto wapatao 44,500 wanatarajia kupata chanjo ya Surua Rubella katika halmashauri ya wilaya ya Kilombero katika zoezi litakaloanza Oktoba 17 hadi 21 mwaka huu.

Sambamba na utoaji huo Wa Surua Rubella pia watoto wapatao 25747 wanataraji kupata  chanjo ya Polio ya sindano katika zoezi hilo.

Mratibu Wa chanjo katika halmashauri hiyo Niindaely Malugu amesema kampeni hiyo itahusisha vituo vyote 49 vinavyotoa chanjo katika halmashauri hiyo na vituo vingine vya huduma za mkoba ambavyo chanjo huwa inatolewa.

Malugu amesema zoezi hilo ni kutekeleza agizo la wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,jinsia,wazee na watoto kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.

Amesema kampeni hiyo imelenga kutoa chanjo kwa watoto wote walio na umri kuanzia miezi 9 hadi chini ya miaka mitano kwa chanjo ya Surua Rubella na watoto walio katika umri Wa mwaka mmoja na nusu hadi miaka mitatu na nusu watapatiwa chanjo ya polio ya sindano.

Amebainisha kuwa watoto watakaopatiwa chanjo ya polio ya sindano ni wale waliozaliwa mwezi April 2016 hadi April 2018 hivyo kutoa wito kwa Wazazi kuwapeleka watoto wao waliozaliwa kipindi hicho.

Akielezea sababu zinazochangia kampeni hii kufanyika,Malugu alisema kuwa kuna uthibitisho wa kitaalamu kwamba ni asilimia 85 tu ya watoto wanaopata chanjo ya surua wakati wanatimiza miezi 9 .

Amesema kwa halmashauri hiyo takwimu zinaonyesha kuanzia Januari 2017 hadi Agosti 2019 watoto wapatao 6237 hawakupata chanjo ya Surua Rubella dozi ya kwanza na watoto wapatao 3900 hawakumaliza kupata chanjo hiyo dozi ya pili.

Kwa upande wake Mganga Mkuu Wa halmashauri hiyo Dk Christina Guveti amesema lengo mahususi la kampeni hiyo kitaifa ni kuzuia na kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo na pia kuongeza kinga kwa watoto wote kwa kuwapatia chanjo hata kama walishapata chanjo siku za nyuma.

Naye Mkuu Wa Wilaya hiyo James Ihunyo ametoa wito kwa wananchi hasa Wazazi na walezi kuhakikisha watoto Wa umri chini ya miaka mitano wanapatiwa chanjo hizo na kuwataka viongozi Wa kijamii,madhehebu ya dini kuhamasisha Jamii ili kufanijisha zoezi hilo.

Mwisho,...  

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa