• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

WATUMISHI MLIMBA DC WAMPONGEZA DED KUANDAA BONANZA LS MICHEZO

Posted on: February 24th, 2024

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba wamempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Eng. Stephano B. Kaliwa kwa kuandaa Bonanza la Michezo kwa watumishi wote ambalo limefanyika Kata ya Chita leo Jumamosi tarehe 24/02/2024.


Mtendaji kata wa Idete Bi. Janneth Tuji amesema kufanyika kwa Bonanza hilo katika kata yake kumehasisha zaidi watumishi wa kata ya Chita kwani hakujawai tokea Bonanza kubwa na nzuri kama hilo, pia amemshukuru Mkurugenzi kwa kuwahamsisha watumishi kupitia Michezo kwani inawasaidia kupunguza msongo wa mawazo, kuimarisha Afya zao pamoja na kuwajengea mshikamano watumishi wote wa Halmashauri.


Pia, Mheshimiwa Asha Shomary ambaye ni Diwani wa kata ya Chita awewapongeza watumishi wote walioshiriki Bonanza hilo na kuwaasa wacheze kwa kulindana na kuepusha kupata changamoto za majeraha wakati wa Michezo aidha amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kuandaa Bonanza hilo na ameomba lifanyike kila Mwezi kwa kata tofauti ili watumishi wote wa Halmashauri wawe vizuri kiafya.


Mwalimi Joyce Gabriel amesema amevutiwa zaidi na mbinu ya Kuwashirikisha watumishi wote kushiriki Bonanza na kuonesha Vipaji walivyo navyo watumishi nje ya Taaluma zao. Amemuomba Mkurugenzi Bonanza hili liwe mara kwa mara kufanya kila Mtumishi wa Halmashauri kujifunza mazingira mbalimbali ya Halmashauri na kutambua fursa zilizopo.


Mwisho, Afisa Michezo wa Halmashauri Ndugu Nicholaus Makata amewapongeza watumishi wote kutoka Kata mbalimbali kushiriki na kuitikia Wito wa Bonanza na amesema huu ni utaratibu wa Halmashauri kufanya Mabonanza ya Michezo kwa kila kata na yatafanyika kila Mwisho wa Mwezi ili kuendelea kuimarisha Afya za Watumishi pamoja na kujiandaa katika Mashindano mbalimbali ya Watumishi kama vile @shimisemita_taifa au ligi mbalimbali zitakazoandaliwa ndani ya Halmashauri.


Matokeo ya Michezo iliyofanyika leo ni Mpira wa Miguu watumishi wa Makao Makuu ya  Halmashauri wamewafunga watumishi wa Kata ya Chita Goli Moja bila na Mchezo wa Netiboli watumishi wa Makao Makuu ya Halmashauri wameshinda goli 12 dhidi ya Goli 4 za watumishi wa kata ya Chita. @kyobyad @dc.kilombero @jr_farhanjr @hajathecredible @yahyanjenge @godwin_kunambi

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa