• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Wauguzi Mlimba wakabidhiwa pikipiki kwa utendaji.

Posted on: September 30th, 2020

Pichani juu Kaimu Mkurugenzi wakili Faraja Nakua akimkabidhi funguo ya pikipiki moja kati ya wauguzi wanaofanya kazi wilaya ya Mlimba.

Wauguzi katika Halmashauri ya wilaya ya Mlimba mapema jana wamekabidhiwa pikipiki na shirika lisilo la kiserikali la PLAN INTERNATIONAL kwa madhumuni ya kurahisihsha utendaji kazi wao katika maeneo ambayo hayafikiki kwa magari, kwenye hafla fupi iliyofanyika katika makao makuu ya Halmashauri ya wilaya hiyo.

Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhiwa pikipiki hizo,kaimu mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Wakili, Faraja Nakuwa amesema kuwa, malengo ya pikipiki hizo ni kuwasaidia wauguzi kutimiza malengo ya kiutumishi ambayo ni kuwafikia kwa urahisi wahitaji wa huduma mbali mbali za kiafya hususani wamama wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano na kuongeza ufanisi wa kazi wanazozifanya.


Katika hatua nyingine,  Meneja miradi wa Plan International Program ya Ifakara Ndugu Silvin Masele amesema shirika hilo litaendelea kushirikiana na uongozi wa wilaya hiyo kwani wameridhishwa na utendeji kazi wa watendaji katika ngazi ya wilaya kwa kutekeleza miradi mingi wilayani humo.

Nae Verediana Martine ambae ni miongoni mwa wanufaika wa pikipiki hizo akihudumu katika  zahanati ya Mbingu amesema kuwa  wanashukuru sana shirika hilo kwani kwa kukabidhiwa pikipiki hizo kutawarahisishia kazi, kwani walikuwa wakipitia changamoto ya kuwafikia wananchi, lakini kwa sasa wana uwezo wa kuwafikia watu wote.

“kusema ukweli tunamshukuru mungu na Plan kwa kutupatia pikipiki hizi ambazo zitaenda kurahisisha kazi kwani tulikuwa tunapitia changamoto kubwa sana ya usafiri hivyo kwa sasa tunauwezo wa kuwafikia karibia watu wote na kuwapa huduma.’’ Alimaliza Martine.

Naye Julius Jumanne ambae ni mtoa huduma wa tiba chanjo wa wilaya, amewataka wadau wengine wa maendeleo kujitokeza ili kuuunga mkono juhudi zinazofanwya na serikali kama walivyofanya shirika la Plan International Wilayani Mlimba.

Shirika la Plan International limekuwa likitekeleza miradi mbalmbali katika wilaya zilizopo mashariki mwa mkoa wa Morogoro na hatimaye awamu hii wameweza kutoa pikipiki takribani 18 ambapo pikipiki 16 zimegawiwa kwa Halmashauri ya wilaya ya Mlimba na mbili zimeenda katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara.

Habari picha

 


 

 




Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa