• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dokta Kebwe Steven Kebwe yaibua mengi kkijini Kisegese Wilayani Kilombero

Posted on: November 30th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Kebwe Steven Kebwe, amewataka wananchi wa kijiji cha Kisegese pamoja na vijiji jirani,kusitisha mara moja shughuli za kibinadamu katika msitu wa  Namwai uliopo Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro wenye ukubwa wa Hekta 1833.94, ikiwemo ukataji holela wa miti kwaajili ya mbao na uchomaji mkaa,pamoja na kuendesha shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya msitu, kwani wanapaswa kulinda na kuiheshimu mipaka iliyowekwa katika msitu huo.

 Agizo hilo amelitoa Novemba,28 mwaka huu, alipotembelea Msitu wa hifadhi wa Namwai uliovamiwa na wananchi wa Kisegese Wilayani humo, kwa kuendesha shughuli za kibinadamu ndani ya msitu huo, ambapo inaweza kupelekea uharibifu wa mazingira utokanao na ukataji miti ovyo, kama vile ukosefu wa mvua pamoja na kupunguza suala zima la Utalii Mkoani Morogoro.

Naye kaimu Afisa misitu wa wilaya  ya Kilombero ndugu Magai Pharles Chamba, amesema kuwa walianza utekelezaji wa agizo hilo kwa kufanya shughuli ya kubainisha mipaka ya msitu huo, kwa  kuweka alama katika mipaka pamoja na kuweka tuta linalotenganisha eneo la msitu na makazi ya wananchi hao, ambapo wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo walikumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kuvamiwa na wananchi kwa lengo la kuzuia zoezi hilo pamoja na kukosekana kwa ushirikiano kutoka kwa viongozi wa vijiji.

Kwa upande wa baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisegese, walihoji juu ya uhalali wa msitu huo kwa kusema kuwa kama eneo hilo ni la msitu ilikuwaje wawekezaji na baadhi ya watu kumilikishwa ardhi ndani ya msitu huo, huku wengi wao wakidai kutotambua uhalali wa uwepo wa msitu huo na kuongeza kuwa wao waliliweka eneo la msitu huo katika mpango wa matumizi bora ya ardhi.

Akijibu hoja hizo za wananchi Kaimu Afisa ardhi na maliasili wilaya ya Kilombero ndugu,Joseph Mgana amesema kuwa, msitu huo upo kisheria na utengwaji wa msitu huo ulianzia katika vijiji vya Mofu na Namwawala na kuongeza kuwa mpango wa matumizi bora ya ardhi wanaouzungumzia wananchi haukusajiliwa hivyo wananchi wanapaswa pia kuzingatia haki za wanyama kwa ujumla.

Hata hivyo Dokta Kebwe ametoa wito kwa Wakuu wa wilaya zote mkoani humo, kutokaa maofisini na badala yake kuwatembelea wananchi ili kubaini changamoto  zinazowakabili wananchi,huku akiwataka wananchi hao kuachana na tabia ya uuzaji  wa ardhi zao hivyo kupelekea kuvamia maeneo yaliyotengwa kwaajili ya hifadhi.

Matangazo

  • KARIBUNI MLIMBA WATUMISHI WAPYA SEKTA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA JULAI 2022 August 01, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Hamlashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano B. Kaliwa akiongoza kikao cha Manejimenti.

    August 13, 2022
  • AFISA LISHE WA HALMASHAURI NDUGU BODYGADI S. BUHARI AKIWASILISHA TATHIMINI YA LISHE KWA MWAKA 2021/2022

    July 15, 2022
  • UJENZI WA NYUMBA ZA WAKUU WA IDARA

    July 04, 2022
  • KARIBUNI MLIMBA WAAJIRIWA WAPYA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

    July 04, 2022
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa