• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Miundombinu
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
      • PICHA ZA MIRADI YA MAPAMBANO DHINI YA UVICO

ZIARA YA VIONGOZI KAMATI YA KITAIFA YA MAAFA MLIMBA DC

Posted on: April 11th, 2024

Mhe. Jenista J. Mhagama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) @owm_tz amewaongoza Mawaziri, Manaibu mawaziri na Makatibu wakuu wa Wizara kufanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuangalia athari ya Uharibifu wa Miundombinu ya reli, Barabara na makazi ya watu yaliyotokana na mafuriko yaliyoikumba kata ya Masagati na maeneo ya Jirani.


Aidha Mhe. Mhagama amewapa salamu za Upendo wananchi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kutoka kwa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuwapa pole kwa changamoto ya mafuriko na kuendelea kuwasisitizia wananchi wote waliojenga na kufanya shughuli kwenye mabonde wahame.


Mhe. Mhagama pia amemwelekeza Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro kuhakikisha ndani ya Wiki ikayo anafanya mikutano ya Hadhara na wananchi wote ambao mradi wa Ujenzi ya Barabara ya lami kutoka Ifakara hadi Igima unapita kwenye maeneo yao na kuwaelezea hali ya utekelezaji wa Miradi huo pamoja na kumtambulisha Mkandarasi kwa wananchi.


Mhe. Judith Salvio Kapinga  Naibu waziri wa Nishati amemwelekeza Meneja wa Tanesco Mkoa wa Morogoro kuhakikisha anasimamia suala la kuondoa hali ya ukatikaji kwa umeme katika Mkoa wa Morogoro pamoja na kurekebisha tatizo la Trasforma katika kijiji cha Matangini kata ya Mlimba.


Pia, Mhe. David Silinde  @davidsilinde Naibu waziri wa kilimo amewajulisha wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuwa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan atasaini Mkataba kwa ajili ya kuleta mshauri mwelekezi atakayepitia Bonde lote la mto Kilombero kwa ajili ya skimu za Umwagiliaji pamoja na mabwawa makubwa ya kuhifadhi maji ili wananchi walime mwaka mzima.


Mhe. Jerry Sila @jerrysilaa Waziri wa Ardhi, nyumba na makazi amewaelekeza Maafisa Ardhi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba  na kamishina wa Ardhi Mkoa wa Morogoro kuandaa taarifa ya matumizi bora ya ardhi katika kijiji cha Mlimba B kitongoji cha TAZARA pia Mhe. Silaa amewahidi wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kurudi kwa ajili ya kusikilia kero za Wananchi pamoja na Shamba la Rubada.


Mhe. Juma Aweso @jumaa_aweso Waziri wa Maji amemwelekeza katibu Mkuu wizara ya maji @wizarayamajitz kuleta Bilioni Moja katika kukamilisha mradi wa maji Mlimba.

@kyobyad @dc.kilombero

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA MWENDESHAJI WA VIFAA VYA BAYOMETRIKI February 13, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA MWEZI DESEMBA 2024 January 07, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) YA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI MWAKA 2024 January 05, 2025
  • KIUNGANISHI (LINK) CHA MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA DARASA LA NNE MWAKA 2024 January 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MLIMBA DC YAPOKEA VITABU 13,607 KWA AJILI YA SHULE ZAKE ZA SEKONDARI

    May 30, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAPOKEZI YA VIFAA VYA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 29, 2025
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO MAPYA

    May 31, 2025
  • LAAC YAKAGUA MIRADI MLIMBA DC

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Kupata Madarakani au cheo hakukufanyi kujua kila kitu. Maneno ya hekima kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu Mhe. Mhe. Dkt Doto Biteko
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa