• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
MLIMBA DISTRICT COUNCIL
MLIMBA DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/ Asili
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
      • Muonekano wa muundo
    • Idara/ Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango, Takwimu na ushirika
      • Mazingira na Usafi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Maji
      • Ardhi, Maliasili na Mazingira
      • Ufugaji na uvuvi
      • CHF iliyoboreshwa
      • Sheria
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Msingi
      • Sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
    • Rasilimali watu
    • TEHAMA
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, utawala na mipango
      • Elimu, Afya na maji
      • Uchumi, Ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kumuona mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mhandisi Kalobelo azindua msimu mpya wa kilimo 2020/2021 Wilayani Mlimba ,azitaka Halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika.

Posted on: November 27th, 2020

                                                                     Pichani juu ni Katbu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Kalobelo Katikati mwenye suti nyeusi akizindua msimu mpya wa kilimo wa mwaka 2020/2021 katika skimu ya Njage wilayani mlimba tarehe 26/11/2020

Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro Mhandisi

Emmanuel Kalobelo amezitaka Halmashauri zote mkoani humo kuendelea kuimarisha vyama vya ushirika ili viwe chachu ya kilimo katika jamii

Akizungumza katika maadhimisho ya uzinduzi wa msimu wa kilimo yalifanyika kimkoa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Skimu ya Njage Mhandisi Kalobelo amesema tija kubwa ya sekta hiyo ni kpitia vyama vya ushirika kwani hata uazaji wa mazao unapitia vyama hivyo kama mkoa hawawezi kutegemea vyama kama havipo au vinakuwa na udhaifu.

Aidha amewataka wazalishaji wa pembejeo mkoani humo kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa kusambaza pembejeo kwa wakati na kuwasogezea wakulima huduma za kupata pembejeo kwa kufungua matawi kila wilaya ili wakulima waweze kuzalisha mazao bora na yenye tija.

Hata hivyo ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Mlimba na wananchi kwa matumizi mazuri ya fedha za mikopo ambazo zimeanza kuleta tija katika jamii ya watu wa Mlimba na hasa ambazo zimekuwa chachu kwenye maonesho mbalimbali yaliyofanyika kwernye uzinduzi wa wa msimu wa Kilimo wa mwaka 2020/2021

Kwa upande mwingine Mhandisi Kalobelo ametoa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni themanini na mbili laki sita na sabini kwa vikundi mbalimbali Wilayani humo ambazo zitakwenda kuongeza maendeleo ya shughuli mbalimbali za kiuchumi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa amemshukuru Katibu tawala wa mkoa na uongozi mzima wa mkoa kwa kukubali maazimsho hayo yafanyike wilayani humo kimkoa na wanachi wote wa wilaya ya Mlimba kwa kuzitendea haki fedha za mikopo walizopata kwani wameonesha taswira mwanzo mzuri wa safari ya maendeleo.

Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro Mhandisi

Emmanuel Kalobelo amezitaka Halmashauri zote mkoani humo kuendelea kuimarisha vyama vya ushirika ili viwe chachu ya kilimo katika jamii

Akizungumza katika maadhimisho ya uzinduzi wa msimu wa kilimo yalifanyika kimkoa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Skimu ya Njage Mhandisi Kalobelo amesema tija kubwa ya sekta hiyo ni kpitia vyama vya ushirika kwani hata uazaji wa mazao unapitia vyama hivyo kama mkoa hawawezi kutegemea vyama kama havipo au vinakuwa na udhaifu.

Aidha amewataka wazalishaji wa pembejeo mkoani humo kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa kusambaza pembejeo kwa wakati na kuwasogezea wakulima huduma za kupata pembejeo kwa kufungua matawi kila wilaya ili wakulima waweze kuzalisha mazao bora na yenye tija.

Hata hivyo ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Mlimba na wananchi kwa matumizi mazuri ya fedha za mikopo ambazo zimeanza kuleta tija katika jamii ya watu wa Mlimba na hasa ambazo zimekuwa chachu kwenye maonesho mbalimbali yaliyofanyika kwernye uzinduzi wa wa msimu wa Kilimo wa mwaka 2020/2021

Kwa upande mwingine Mhandisi Kalobelo ametoa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni themanini na mbili laki sita na sabini kwa vikundi mbalimbali Wilayani humo ambazo zitakwenda kuongeza maendeleo ya shughuli mbalimbali za kiuchumi.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa amemshukuru Katibu tawala wa mkoa na uongozi mzima wa mkoa kwa kukubali maazimsho hayo yafanyike wilayani humo kimkoa na wanachi wote wa wilaya ya Mlimba kwa kuzitendea haki fedha za mikopo walizopata kwani wameonesha taswira mwanzo mzuri wa safari ya maendeleo.


                                                                Mhandis Kalobelo akipanda mbegu za Mpunga katika moja ya kipando kijioji cha Njage Wilayani Mlimba tarehe 26/11/2020


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2019 HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOMBERO December 09, 2019
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • FURSA KATIKA SEKTA YA KILIMO March 27, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Madiwani sikilizeni wananchi: DC Mlawa

    December 19, 2020
  • maafisa kilimo wekeni malengo

    November 27, 2020
  • Mhandisi Kalobelo azindua msimu mpya wa kilimo 2020/2021 Wilayani Mlimba ,azitaka Halmashauri kuimarisha vyama vya ushirika.

    November 27, 2020
  • Haya magazeti ya leo tarehe 24/ Novemba/2020

    November 24, 2020
  • Angalia zote

Video

MAKAO MAKUU KILOMBERODC KUHAMIA MNGETA
video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya maombi ya ruhusa
  • Fomu ya utambulisho benki
  • Fomu ya Kuhuisha Uanachama CHF iliyoboreshwa
  • Wasifu wa Wilaya
  • Muundo wa Halmashauri
  • Eneo la Kijiografia
  • Fursa za Uwekezaji Kilombero

Viunganishi linganifu

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Idara kuu ya Takwimu (NBS)
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria

kitafutio cha watembeleaji wa duniani

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Mngeta Kijiji cha Itongoa

    Anuani: P.O.BOX 263

    Simu: 023 293 1523

    Mobile: 0232931523

    Barua pepe: ded@kilomberodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero.Haki zote zimehifadhiwa